Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Hii stry ilitoka huku
Sinema ya kova inazidi kuparaganyika taratibu. Kila kukicha ushahidi mpya unapatikana. Huyu wa kunyumba kama ameanza kuropoka ajihadhari siku zake zitakuwa zinahesabika.
Jamani someni Mwanahalisi la 25/07/2012 lime fanya uandishi wa kiintelijensia kabisa juu ya ushiriki wa TISS kwenye sakata la Dr. Ulimboka sijui watajificha wapi?