Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Nilikuwa nsoma mtiriko wa mtukio kuhuus sakata la Dowans.
nashauri ingekuwa vizuri muiache thred yenye kichwa habari tajwa hapo juu huru kuliko kuipachika ndani ya thread nyingine na hivyo kuwanyima wanajamvi picha halisi.
Napendekeza iacheni thread ya Hukumu ya Dowans kama ilivyo. . ijitegemeee
Nawasilisha
nashauri ingekuwa vizuri muiache thred yenye kichwa habari tajwa hapo juu huru kuliko kuipachika ndani ya thread nyingine na hivyo kuwanyima wanajamvi picha halisi.
Napendekeza iacheni thread ya Hukumu ya Dowans kama ilivyo. . ijitegemeee
Nawasilisha