assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Mwaka 1995 ktk ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma , Mwl . Nyerere alihutubia ktk mkutano mkuu wa kumchagua mgombea Urais kwa ticket ya CCM ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huo . Sehemu ya hotuba yake Nyerere alisema ;
"Hatuwezi kumpa mtu nchi kwa majaribio . Zipo sehemu nyingi za kufanya majaribio lakini sio ikulu . Tunaweza kuwapa ubunge wakafanya majaribio , tunaweza pia kuwapa wilaya wakajaribu huko , au tukawapa eneo kubwa kama mkoa (kabisa kabisa ) wafanye majaribio . Lakini hatuwezi kuwapa nchi watu wanaotaka kufanya majaribio . Uongozi wa nchi si wa majaribio ."
"akili za kupewa changanya na zako halaf tupe jibu"
"Hatuwezi kumpa mtu nchi kwa majaribio . Zipo sehemu nyingi za kufanya majaribio lakini sio ikulu . Tunaweza kuwapa ubunge wakafanya majaribio , tunaweza pia kuwapa wilaya wakajaribu huko , au tukawapa eneo kubwa kama mkoa (kabisa kabisa ) wafanye majaribio . Lakini hatuwezi kuwapa nchi watu wanaotaka kufanya majaribio . Uongozi wa nchi si wa majaribio ."
"akili za kupewa changanya na zako halaf tupe jibu"