Kwa kweli anatakiwa kuenziwa kipekee kwa mengi aliyotufanyia. cha ajabu tunaishia kuweka hotuba zake wiki ya kuadhimisha siku yake, vipi kuhusu yale aliyoyasema?
Pia naona uongozi wa sasa unataka kumfuta kabisa katika uso wa kumbukumbu........
Hotuba imechanwachanwa vipande na kuwekewa misisitizo na chumvi za Mwanakijiji, kama kawaida yake akikusaidia nyaraka. Inakosa mtiririko, hujui mwenyewe Nyerere alisema nini baada ya nini. Mwanakijiji anadhani anatusaidia kuelewa, maana sisi wazito sana.
Msanii wa Kimarekani, Chriss Rock, anapenda kusema kwamba mtu anaekupa kitu kwa vimasharti ni kama mjomba aliyekusomesha shule, lakini akakunajisi. Ndio Mwanakijiji na michango ya nyaraka "zake."
Hotuba imechanwachanwa vipande na kuwekewa misisitizo na chumvi za Mwanakijiji, kama kawaida yake akikusaidia nyaraka. Inakosa mtiririko, hujui mwenyewe Nyerere alisema nini baada ya nini. Mwanakijiji anadhani anatusaidia kuelewa, maana sisi wazito sana.
Msanii wa Kimarekani, Chriss Rock, anapenda kusema kwamba mtu anaekupa kitu kwa vimasharti ni kama mjomba aliyekusomesha shule, lakini akakunajisi. Ndio Mwanakijiji na michango ya nyaraka "zake."
ni kweli......ila je niwangapi wanaaccess hapa???na ukishawakumbusha then???its high time kuweka mikutano jangwani....kuwagusa wengi,its high time tuache kusurpport mawazo kwa kutingisha vichwa na kiutikia 'yes....the guy was genius' tuanze kupambana na kujiunga kuelekea ulimwengu wa kiukweli na vitendo.
Hotuba imechanwachanwa vipande na kuwekewa misisitizo na chumvi za Mwanakijiji, kama kawaida yake akikusaidia nyaraka. Inakosa mtiririko, hujui mwenyewe Nyerere alisema nini baada ya nini. Mwanakijiji anadhani anatusaidia kuelewa, maana sisi wazito sana.
Msanii wa Kimarekani, Chriss Rock, anapenda kusema kwamba mtu anaekupa kitu kwa vimasharti ni kama mjomba aliyekusomesha shule, lakini akakunajisi. Ndio Mwanakijiji na michango ya nyaraka "zake."
Mwanakijiji yasikukatishe tamaa haya..natamani sana kupata hotuba zaidi za Mwalimu...najua nyingi zinawakera wana CCM wa sasa zinawakosoa na kuwaumbua mno. Mwalimu Tutakukumbuka Daima.
Tindikali, mwache Nyerere aitwe Nyerere na apambwe maua...
Aliyoyasema Nyerere yabaki bila mawaa, hata kama unaona alikosea Kiswahili, hakupanga aya zake vizuri, usidanganye kizazi kipya kwa kuhariri ya Nyerere.
Wakuu zangu,
Haya Haya nimesharudi nipo mjini T dot...Nina mengi sana ya kujadiliana haswa kuhusiana na mustakabali wa nchi yetu. Na niliahidi kuandika mengi sana, hivyo tuweni pamoja kufahamishana...Moja kubwa ambalo naweza jivuniani ni kwamba nimepata darasa kubwa la fikra za Wadanganyika,hivyo kufahamu vizuri WATU wana upeo gani na wanaipeleka wapi nchi yetu...
Ukistaajabu ya Mussa ya Firauni yatakushinda!
n
...Hili linafanywa sehemu zote duniani inapokuja kwenye kuandika hotuba zilizotolewa off the cuff..