Mshindo
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 478
- 186
Waungwana tunapofanya maamuzi lazima tujue hasara na faida. Kweli Dr Ulimboka kapigwa, lakini mwenendo wake huu wa kuhamasisha migomo umeua watanzania wangapi?.
Kwa wenzetu wale Wanaharakati, mbona Uamsho wamepigwa sana huko Zanzibar na hatujawasikia mkitetea? Waislamu waliuliwa Mwembechai hatukusikia Vijana wa Kasikazini mkija juu kuonesha Uchungu. Tutumie akili tusisukumwe na MIHEMUKO.
What do you mean?