JF EXCLUSIVE: DOWANS vs TANESCO, the saga continues!

Chenge alisema pesa lazima ilipwe, inamaana wakati yupo uingereza alikuwa anaifuatilia hiyo kesi.

Migogoro ya CCM inaimaliza nchi
 
(e) The decision of the arbitrator shall be final and binding upon the Parties, and shall not be subject to appeal. Either Party may petition any court having jurisdiction to enter judgment upon the arbitration award. At the request of either of the Parties, the arbitrator shall cause such arbitration award to be filed with the High Court of Tanzania.

(f) The Parties waive any right to challenge or contest the validity or enforceability of this arbitration agreement or any arbitration proceeding or award brought in conformity with this Section, including any objection based on venue or inconvenient forum.​



Hapa ndipo CCM na serikali yake ilipo ingiza Taifa hili mkataba wa mashaka, wanaweza kuuza nchni hawa jamaa, nashangaa mpaka leo aliyekuwa Mwanasheria wa Serikali hajachukuliwa hatua watu wanacheka cheka tu asubuhi hadi jioni.
Arafat Mkuu, hii nchi imekuwa ikiuzwa zamani. Kila siku (chumvi kidogo) inamegwa na kupigwa bei kwa mikataba mibovu. Hasara kiasi gani TZ imeshapata na itaendelea kupata ikiwa CCM wataendelea kuwepo!!!!!
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (na yeyote katika serkali hii ya rushwa, upendeleo, udugu na urafiki) achukuliwe hatua na nani? Hakuna mwenye ubavu wa kumchukulia hatua mtu yeyote miongoni mwao kwani wote ni kama nyumba ya karata, ikiondoka moja wameondoka wote, ndio maana wanaendelea kulindana.
Suala hili na mengine yaliyopita na yajayo, tusfikirie kuwa CCM itawaonea huruma waTZ; ni juu ya waTZ wenyewe kuamua hatma yao, ama kuendelea kufanywa ndondocha na kuamua kuilinda nchi yao kwa kucha na meno.
 
Magamba yalijivua yalisema yanakwenda kusimamia biashara na kuacha siasa za kinafki! Sasa wako kibiashara zaidi, bado tutaona mengi
 
I haven't read the ruling in full yet, but I may help on what you're debating about. The provisions you have referred are clear. The agreement entered between Dowans and Tanesco states that "The decision of the arbitrator shall be final and binding upon the Parties." This clause is based on Tanzanian Arbitration Act 1996 which states that "the award to be made by the arbitrators or umpires shall be final and binding on the parties and the persons claiming under them respectively”.

Now, this is a very very old law and is based on the Geneva Convention on the Enforcement of Foreign Judgments of 1927. I don't understand why we're still using using this outdated law. The Geneva Convention was replaced in 1958 by the New York Convention on the Recognition and enforcement of foreign Arbitral Awards. One of the things, the New York Convention did was to replace the word "final" in the Geneva Convention with the word "binding".

Even the ICC Rules which were used to arbitrate the DOWANS/TANESCO dispute states that "Every Award shall be binding on the parties." It does not say that it should be final. The UK Arbitration Act is also based on the new law. That is why the judge said that in this case, he will have to refer to the English old law because the agreement was made basing on the old law.

Just yesterday I was reading that although the New York Convention 1958 has replaced the Geneva Convention 1927, shockingly, there are still few countries which have arbitration laws based on the Geneva Convention. It did not come to my mind that Tanzania was among those few countries, because our Arbitration Act was passed in 1996.

Why we passed the Act based on the Geneva Convention 1927, instead of the New York Convention 1958 (a United Nations Convention), I don't know. If our Arbitration Act was based on the New York Convention, Dowans would not have been able to bring this action because the abitral award would have been binding but not final. The words "final" and "binding" have serious legal implications. That is why the new law replaced the former with the later. Seriously, using this 19th century's law is costing us.

This thread has serious legal implications, but unfortunately, it will be politicized if not yet. I hope our lawmakers will notice this and demand the law to be updated as soon as possible.
Mkuu Salute. At least I can now appreciate what JK meant when he said the country has no competent poeple in contract laws.
It seems that you are very conversant with these issues. I, among many here, are ignorant of all the references you have made here, which, they make a lot of sense. What i want to know from you learned brother is that in such a situation, what is the way out for Tanesco and tanzania as a country in this case?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
idadi ya watz wanaoelewa haya masuala yanayohusu nchi yao ni ndogo mno na inatia mashaka kama mabadiliko yatakuja kwa muda lakini cha kushukuru Mungu kupitia juhudi za wachache, idadi ya wanaoelewa (wanaoamka usingizini) inaongezeka. Tuombee ongezeko liende kwa kasi kubwa!
Chenge alisema pesa lazima ilipwe, inamaana wakati yupo uingereza alikuwa anaifuatilia hiyo kesi.

Migogoro ya CCM inaimaliza nchi
 
Inaonekana waliosign ule mkataba wa richmond/dowans, walikuwa wametoka kwenye semina elekezi ya utii wa sheria bila shurutu. Ni sheria gani inayotiiwa hapa ndipo kitendawili kilipo.maana kuna sheria za maumbile ambapo kimsingi ukiwa mlaku kama kawaida ya watz ten pecent, ama waite watakavyoita takrima, kukirimu wageni nk, pia kuna sheria za kale zilizopitwa na wakati kama mdau mmoja alivyodadavua ya geneva convention 1927 ambapo imesha be updated na Usa convention ya 1958.
Jamii tanzania tunahitaji ujasiri wa mwanamke mjamzito kujifungua hata kama mbele yake kuna mijoka mithili ya EL na RA.
Nchi sasa inaugua na inautungu wa kuzaa, tuache mtoto afie tumboni kwa sababu tu ya uoga wa maamuzi magumu? Mi nasema hapana, historia inatuhukumu kwa waasisi wa taifa hili na itatuhukumu pia kwa vizazi vijavyo.
.
 
RA alipowaambia anaachana na siasa uchwara anakwenda kushughulikia biashara zake hamkumwelewa, ameanza sasa.
 
Mkuu Salute. At least I can now appreciate what JK meant when he said the country has no competent poeple in contract laws.
It seems that you are very conversant with these issues. I, among many here, are ignorant of all the references you have made here, which, they make a lot of sense. What i want to know from you learned brother is that in such a situation, what is the way out for Tanesco and tanzania as a country in this case?
unafiki huu.
 
Sitaki kuamini kuwa wawakilishi wa TANESCO/ Serikali hawakuusoma mkataba na kuuelewa vyema. Nashawisha kutamka kuwa kila andishi/kifungu/clause cha ule mkataba kilikuwa kina % ya ulaji.
 
IKO kisheria sana tungepata Mtaalam wa Lugha za kisheria atutafunie sisi wabeba zege maana shule zenyewe tumesoma St CCM, Chuo tumefundishwa na waadhiri walofail, wale wazuri wooote wako kwenye Siasa...

hii ni kali sana mkuu! na nami napita tu nitarudi baadae
 
Watu kwa uchokozi...............
RA alipowaambia anaachana na siasa uchwara anakwenda kushughulikia biashara zake hamkumwelewa, ameanza sasa.

kweli kabisa, anapiga kivingine sasa alitumia neno gutter politics
 
ni kweli mkuu hapa CCM sijui itatokajetokaje..kuna gemu wanachezeana wao kwa wao humo ndani.. kuhusu Chadema kwenye jambo kama hili kuwa wangefanya nini .. nina uhakika chama makini kama chadema kisingefanya uzembe wa kuingia kwenye janga kama hili .. na kama wangeingia katika hali kama hii basi ingebidi wafanye maamuzi magumu . ccm hawawezi kufanya maamuzi magumu sio kwamba hawataki au hawapendi .. ni kwamba hawawezi na yapo nje ya uwezo wao

Mkuu Mtakatifu tuwe wakweli tu hivi ni nani (Najua ni CCM na Serikali yake lakini nataka kujua individual) aliyetufikisha hapa? Mimi nadhani serikali ya CCM ilifanya makosa mara mbili: Kwanza kutuingiza kwenye mkataba bomu ambao ulituwekea kamba shingoni na pili ku terminate huo mkataba bila kufuata utaratibu (kosa juu ya kosa). Kamba ipo shingoni na tunaning'inia bado tu stuli itenguliwe tukate roho!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Sitaki kuamini kuwa wawakilishi wa TANESCO/ Serikali hawakuusoma mkataba na kuuelewa vyema. Nashawisha kutamka kuwa kila andishi/kifungu/clause cha ule mkataba kilikuwa kina % ya ulaji.

wanasheria wetu wanasaini first draft contract kwa hiyo hakuna negotiation yoyote ni kumwaga wino tu hakuna tabu kabisa
 
watetezi wao wako wapi? akina FF na wenzake? kwa hapa naona wamepotea kabisa maaana imewapiga sana
 
Maskini Nchi yangu magamba mtatumaliza, Sijui nigeuke Al-Qida ili niokombeo nchi yangu. Tutabaki kulalamika lakini kuchukuwa maamuzi magumu kama ya Tunisa au Misri hatuwezi kweli watatnzania?
 
JK anataka kuwaambia Watanzania kwamba kila kilichoandikwa kiwe ni mkataba au vyovyote unavyotaka kuita hakiwezi kubadilishwa katika nchi hii. Wrong wahujumu wa uchumi nambari one ni yeye mwenyewe. Dowans ni mali yake ndio sababu hawezi kuchukua hatua yoyote.

Haiingi akilini wakati nchi zilizoendelea kama UK au USA huwa wanachukua uamuzi mikononi mwao kwa maslahi ya nchi zao i.e. UK SOCA ambao wao ndio majaji na watekelezaji wa sheria kwa wale wanaojifanya wajanja kukwepa kufuata taratibu. Dowans wametuibia mchana kweupe na hizi ngonjera anayeziendeleza ni JK mwenyewe pamoja na makuwadi wake i.e Banyamulenge ambaye yumo humu pamoja na makuwadi wenzake kutoka Ikulu.

Watanzania tunatakiwa kuchukua maamuzi magumu now or else wao wanafikiri hii ni nchi yao peke yao.
 
Back
Top Bottom