JF doctors tafadhali naomba kujua ukweli kuhusu hili

Primitive

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
222
45
Kila ninapoamka na hangover nikinywa maziwa fresh naarisha sana! nilishaambiwa kuwa maziwa huwa yanatoa sumu mwilini na vilevile naelewa ya kuwa pombe (alcohol) ni sumu! je ni kweli kuwa kuarisha kunakonitokea ndo natoa sumu ya pombe??
naomba kujuzwa na wataalam tafadhali!
 
Kila ninapoamka na hangover nikinywa maziwa fresh naarisha sana! nilishaambiwa kuwa maziwa huwa yanatoa sumu mwilini na vilevile naelewa ya kuwa pombe (alcohol) ni sumu! je ni kweli kuwa kuarisha kunakonitokea ndo natoa sumu ya pombe??
naomba kujuzwa na wataalam tafadhali!
acha kwanza pombe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom