Primitive
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 222
- 45
Kila ninapoamka na hangover nikinywa maziwa fresh naarisha sana! nilishaambiwa kuwa maziwa huwa yanatoa sumu mwilini na vilevile naelewa ya kuwa pombe (alcohol) ni sumu! je ni kweli kuwa kuarisha kunakonitokea ndo natoa sumu ya pombe??
naomba kujuzwa na wataalam tafadhali!
naomba kujuzwa na wataalam tafadhali!