DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,815
Habari zenu wakubwa.
Mke wangu kajifungua jana saa 4 asubuh tatizo toka ajifungue maziwa hayatoki yan mtoto hajanyonya mpaka dakika hii, mama mtoto anaumwa tumbo kama la uchungu, nisaidieni kujua dawa ya kuondoa au kupunguza maumivu ya tumbo, pia kusaidia maziwa yatoke kwani hayatoki kabisa na akijaribu kunyonya tumbo ndo linaanza kuuma!
Ahsanteni.
Mke wangu kajifungua jana saa 4 asubuh tatizo toka ajifungue maziwa hayatoki yan mtoto hajanyonya mpaka dakika hii, mama mtoto anaumwa tumbo kama la uchungu, nisaidieni kujua dawa ya kuondoa au kupunguza maumivu ya tumbo, pia kusaidia maziwa yatoke kwani hayatoki kabisa na akijaribu kunyonya tumbo ndo linaanza kuuma!
Ahsanteni.