Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahahaaaaa kwelia aiseeSio hana jipya yaani 'HANAGA JIPYA'... Pole kwa kuambukizwa, nawe pia nakuweka kwenye maombi!
Hahahaaaaa kwelia aiseeSio hana jipya yaani 'HANAGA JIPYA'... Pole kwa kuambukizwa, nawe pia nakuweka kwenye maombi!
BW, kabakabana, Erickb52, Amyner, Sweetlady, Mtei one, Cantalisia, kongosho, Husninyo, Tanmo, smiling saint, Bagah, klorokwini, uporoto, duuuh wengine jijazieni hapo!
Kaby kale kaugonjwa kako kananisumbua sana tangu usiku....pole,cudnt cum!naumwa pia
Wala usijali dogo kila kitu na nafasi yake.....Amini usiamini wakati nakuja JF nilijua ni siasa tu. ila nimekuja kujua chitchat nimejikuta nafungua moja kwa moja huku kule siasa imekuwa kwa msimu... wakiong'oa hii kitu ntarudi siasa mnyonge
HahahahaaHivi kumbe bado watoto wako likizo. .
Uing'oe imeoteshwa?
Dogo hawa ndo Chit-Chat members wa kudumu.....hii orodha ya nini?
au wale ambao hawajadeki maeneo yao??LOL
Mie pia nilijiunga kipindi cha uchaguzi wa mwaka 2010, mda mwingi nilikuwa nashinda kwenye siasa, mara hamadi nkagundua kuna chit chat looh salale sa ngapi nisiweke kambi moja kwa moja? Lol..Amini usiamini wakati nakuja JF nilijua ni siasa tu. ila nimekuja kujua chitchat nimejikuta nafungua moja kwa moja huku kule siasa imekuwa kwa msimu... wakiong'oa hii kitu ntarudi siasa mnyonge
Afu jana pia alivofagia hakuchoma zile taka, yukwapi afagie sasahivi?Dogo hawa ndo Chit-Chat members wa kudumu.....
Ila Bagah ndo mfagiaji wa jukwaa.....
Saga chupa unywe!..Mngejua mnayokera.....!!!! mngejilamba ulimi!!! loh!!.
Lizzy hujambo mama?
habari za masiku tele?
Hahahaaa na kwa muda wote aliokaa moshi najua lazma alisafisha mji maana hawezi kuchomoka hata kwa kutuma ka karatasi ka voucher...Afu jana pia alivofagia hakuchoma zile taka, yukwapi afagie sasahivi?
Hamia Jukwaa la Matangazo madogomadogo kunakufaa ukawe Kilanja mkuu wa kukwaaMngejua mnayokera.....!!!! mngejilamba ulimi!!! loh!!.
Hahahaha! Ms pasafi huruhusiwi kutema hata mate lol. Bagah atajuta kwenda Ms..Hahahaaa na kwa muda wote aliokaa moshi najua lazma alisafisha mji maana hawezi kuchomoka hata kwa kutuma ka karatasi ka voucher...
Siunajua Ms ulinzi kila mahali
Canta dear sijambo, nilitaka kuja hapo kukupa suprise visit ila mambo yameingiliana.. Miss u shost.. Shem wako b52 mzima kabisa. Amesafiri kikazi.. Shem rejao yupo?
BW, kabakabana, Erickb52, Amyner, Sweetlady, Mtei one, Cantalisia, kongosho, Husninyo, Tanmo, smiling saint, Bagah, klorokwini, uporoto, duuuh wengine jijazieni hapo!
Sina muda na cheat-chit-chat
Achana nae bana hana jipya huyu na wala hajaanza leo, ukikubali upate ban jukwaa la chit chat mie nakununia,Kwan umelazimishwa kuja humu?b haya chapa lapa fasta... au umekuja kuwatafutia watu ban?