sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Sasa haya maandamano yameanzia chit chat, yanaishia viwanja gani? Afu mbona umeshusha bango lako?nimeliona vizuri tu..
Sasa haya maandamano yameanzia chit chat, yanaishia viwanja gani? Afu mbona umeshusha bango lako?nimeliona vizuri tu..
mPM kokutonaUnanionea vile hakuna wa kunisaidia kutafsiri eeh?
Ndio nani?mPM kokutona
Mapenzi kizungu zungu Bishanga asikwambie mtu, kama wewe hujui limbwata nitty anajua! Unalo lol!
kama humjui basi mPM rejao,nasikia naye ni nshomile.Ndio nani?
Kipenda roho Bishanga....lolMungu ni wa wote,bora kapigwa ban,siku zote nakutaka unankataa ndo ukaja angukia kwa nitty mchimba madini wa nyarugusu?wanawake bana! Yaani unamkataa mshefa bishanga na minoti yake?
Rejao tuko nae jirani pale kibosho kwetu, kuna nshomile wa kibosho?kama humjui basi mPM rejao,nasikia naye ni nshomile.
bahati yako nna hasira,kabinti kako kameniuziKipenda roho Bishanga....lol
Mh....ndio umeanza manyanyaso au?
Sasa haya maandamano yameanzia chit chat, yanaishia viwanja gani? Afu mbona umeshusha bango lako?
Mi sina bango jamani,mkichoka ntasaidia kunyanyua yenu..
kama humjui basi mPM rejao,nasikia naye ni nshomile.
Bora wakongwe mpo kulichangamsha hili jukwaa...nawamiss sana! Mimi ni full majukumu! Nabip tu na kutoka.Rejao tuko nae jirani pale kibosho kwetu, kuna nshomile wa kibosho?
Wapendwa mie sio mchangiaji sana wa hapa chitchat,ila ni mpenzi sana wa hili jukwaa..
Baadhi ya hao memba ni hawa hapa.
Nyaningabu
Faizafoxy
Kiranga
Rev Masanilo
Figganiga
Mwita25
Matumbo
Lizzy
Bigirita
Washawasha
MTM
Boss
Jmushi
Mzee
na wengine wengi...
kwani hao wote wamepigwa Ban mmmh
Lizzy- No
Jmushi -No
MTM-No
Bigirita --mmh
Labda maundumula:biggrin:
Nyanigabu kashamaliza kifungo...