Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Kwa muda mfupi nilioshiriki hapa JF, nimeona kama hapa ni pazuri kuliko kwenye FACEBOOK.
Hapa JF, mada huchambuliwa kwa umakini mkubwa.
Taarifa muhimu hupatikana kwa haraka sana.
Members wana takwimu za kila aina.
Hapa JF hapajakaa kihuni huni.
Members wa JF, wanatunza heshima zao.
Sasa nitaanza kuwajibika kuiendeleza forum hii.
BIG UP waanzilishi wa JF.
Hapa JF, mada huchambuliwa kwa umakini mkubwa.
Taarifa muhimu hupatikana kwa haraka sana.
Members wana takwimu za kila aina.
Hapa JF hapajakaa kihuni huni.
Members wa JF, wanatunza heshima zao.
Sasa nitaanza kuwajibika kuiendeleza forum hii.
BIG UP waanzilishi wa JF.