JF Beware: Upinzani si Uadui

Makelele tu kama kawa!!, hakuna la ajabu lilofanyika au litakalofanyika, fikiria Rais Mbowe angefanyaje ktk hilo dili alopewa Kikwete na mbwia ugolo Joji Kichaka!!!. Kwani mmesahau ile " either you are with us or with the terrorists." Kwanini usichukue kifuta machozi na kuendelea kubaki upande wao? Halafu Bongo ikikataa kuwekwa kwa hiyo kambi chepi kitacho ongezeka na chepi kupungua? kwani Bongo ndio itakuwa nchi ya kwanza kuwekwa kambi za kimarekani?. Mijikambi ya kimarekani ipo dunia nzima kuanzia ulaya mpaka mashariki ya mbali, tena nchi nyingine za MAANA kushinda hiyo Bongo( Ujerumani na Japan). Na hakuna lolote lilo haribika zaidi ya kambi hizo kuwa ni mojawapo ya vitega uchumi ya miji zilizomo.

"!!

Hasara ni kubwa kuliko Faida, kwanza watanzania wafahamu kuwa tulisaini mkataba ambao hauwaruhusu watanzania kuwashtaki wamarekani wafanyapo uhalifu wakiwa kwenye ardhi yetu."

Pili, Kuwa Non Aligned is the best option, otherwise tutakuwa target ya Terrorists, na hivyo itabidi tu-advert hata hizi fedha za budgets ambazo zin nakisi kila mwaka kuimarisha ulinzi. Who knows baadhi ya mataifa yataanza kuwa-hate watanzania kama yanavyowa-hate wamarekani. Amani ya nchi yetu itakuwa mashakani.Believe me "Tanzania would never be the same from the time the Contract is signed" Tusilinganishe Germany au Japan na Tanzania kwa sababu , teknolojia yao iko juu na pengine wanajua benefit wanazopata. Hivyo ni vizuri mjadala uwe wa wazi ili Watanzania wawe informed na wawe tayari kwa Matokeo yoyote.
 
Boss, you are blowing this issue out of proportion unnecessarily. Ama huelewi maana ya uhaini au bado upo katika dimbwi zito la mawazo mgando ya mkubwa haambiwi amejamba. Ni hivi tuna haki ya ku-question dhamira, fikra, mawazo, maneno na matendo ya Rais wetu katika kila jambo alifanyalo kwa niaba yetu. Hii ni pamoja na jeshi, maana lile jeshi sio la kwake ni la kwetu sote yeye akiwemo. Na kama alivyokujibu vizuri sana dadangu Mwafrika wa Kike nani amekwambia kila anachofanya Rais kinawekwa hadharani hasa kwenye magazeti ya bongo. Hayo magazeti yetu yanasubiri press release ya ikulu ndiyo yaandike, hiyo utasikia leo kweli. Ukitaka kujua ni kweli au la uwe unafuatilia magazines za kimataifa.

Hiyo tabia ya kufikiri mambo ya jeshi hayajadiliwi hadharani ndio inawapa mwanya baadhi ya mafirauni kutuibia pesa zetu kupitia huko. Kama unaipenda nchi na jeshi letu utapenda kufuatilia pia yanayofanyika huko. Marekani inaweka base zake karibu kila kona ya dunia hii hasa kwenye nchi za ndio mzee, sasa kujadili kwamba ina-contemplate the same for Tanzania, ndio tuambiwe ni uhaini, no way. Kwani wewe hukuona wananchi wa mataifa hayo anayokwenda kila Rais wetu walivyotofautiana kuhusu vita ya Iraq na wengine walipinga waziwazi jeshi lao kwenda huko, kwa hiyo ingekuwa hapa kwetu ungewaita wahaini? Tujadili hoja, tuache lugha za kutishana, tumeshatoka huko pengine unaishi kizazi kisicho chako kisiasa ndugu yangu. Those days are gone and we are determined to see that they never come back!

Na kuhusu kichwa cha habari, kwamba upinzani si uadui, hsiku umetukumbusha jambo ambalo tunalijua na tunalifanya!

Binti Maria:
You obviously missed the whole point that led to the use of the term 'uhaini.' For that you get a zero in your write-up.
 
Na ndio tukaulize, je, kujadili hili ndio usaliti kama anavyosema aliyebandika mada hii?

Na pili sio kweli kwamba kila Rais hapa duniani anakubali ujinga wa Marekani. Wapo kibao waliokataa kuendeshwa na taifa hili na wanadunda. Labda google Hugo Chavez hapo ulipo ili uanze kujifunza.

Bint,
Suala la mbandika mada, yeye atajibu kwa hoja zake.
Swali lako la pili ni kwamba, hukuwa umesoma vizuri mtitiriko au ndio ktk kukurupuka kukosoa watu......nilikuwa nazungumzia RAIS WA TANZANIA!!!!! Na bwana Kalamu akajibu hapo juu kwamba Nyerere asingekubali, ambayo pia ni issue nyingine kwa siku nyingine ila nikasema imeshajijibu huko juu. Kuhusu Chavez kama unamjua wewe basi mie pia namjua, wenzako wanamtania "Chavez the stupid bully." Huwezi ku-compare Venezuela na Bongo!! wenzako wana Citgo ambayo Chavez anaitumia kama one of his propaganda machines ktk USA. Kuna Bango kubwaaa la Citgo pale Kenmore in Downtown Boston, uliza wangapi in Washington wametaka lishuke na ku-boycott Citgo? wengi lakini wameshindwa.....usimwige Chavez mwenzio ana "black gold" na wakti wa winter anavurumisha mafuta kwa discount in New England kwa kutumia partnership yake na Joe Kennedy,Jr(family ya Kennedy na mtoto wa Joseph Kennedy,Sr). Maana yake ni nini?? think!!!. Nakutakia week njema.
 
Mugo"The Great";103734 said:
Hasara ni kubwa kuliko Faida, kwanza watanzania wafahamu kuwa tulisaini mkataba ambao hauwaruhusu watanzania kuwashtaki wamarekani wafanyapo uhalifu wakiwa kwenye ardhi yetu."

Pili, Kuwa Non Aligned is the best option, otherwise tutakuwa target ya Terrorists, na hivyo itabidi tu-advert hata hizi fedha za budgets ambazo zin nakisi kila mwaka kuimarisha ulinzi. Who knows baadhi ya mataifa yataanza kuwa-hate watanzania kama yanavyowa-hate wamarekani. Amani ya nchi yetu itakuwa mashakani.Believe me "Tanzania would never be the same from the time the Contract is signed" Tusilinganishe Germany au Japan na Tanzania kwa sababu , teknolojia yao iko juu na pengine wanajua benefit wanazopata. Hivyo ni vizuri mjadala uwe wa wazi ili Watanzania wawe informed na wawe tayari kwa Matokeo yoyote.

Mambo ya slippery slope, zero/nada fwacts. Mfano unafikiri huyo mmarekani atakaye fanya so bongo(kama ulivyosema ni kweli), akirudi marekani atadundika mtaani!!!? fikiria tena. Ni wazi hasara zitakuwepo, kwani hata huo ugali unaokula kila siku una madhara pia.......kumbuka kwamba watanzania wawili watatu watapata ajira hapo kambini.
Tena ningeshauri hii kambi iende Tanga labda itasaidia kidogo kufufua uchumi!!! kwikwikwi.
 
Habari iliyoandikwa humu kuhusu kupewa nafasi ya kujenga Base ya Wamarekani kwenye Ardhi ya Tanzania ni Nzito.Jambo hili limekuwa linazungumzwa mara kwa mara ndani ya Pentagon.Wamarekani wanatafuta Eneo Africa haswa kusini mwa Jangwa la Sahara ili kuthibiti Ugaidi uliopo Horn of Africa na Eneo zima la Sudan.

Toka mwezi July 2006 kuna wanajeshi 1800 waliowekwa Djibouti na 450 Waliopo Pwani ya Mombasa (Simba Camp) ili kuangalia Mienendo ya Sudan,Somalia na Ethiopia.Hivi karibuni baadhi ya Viongozi wa ngazi za Juu wa Jeshi la Marekani wamepita kwenye Nchi za EA ili kuwashawishi Viongozi wetu watoe Eneo la kujengwa Africom.Kwa maelezo ya Magazeti ya Nyumbani Viongozi wote wa SADCC walikataa wazo hilo la wamarekani.

Kuna ushindani Mkubwa wa kibiashara kati ya US na China,hali hiyo inawafanya US wajaribu kuingia kwa nguvu zote Africa ili kupata uhakika wa kufanya mambo yao na kuwavuta Waafrika upande wao,US wana wasiwasi wa issue za kiuchumi hata usalama (Ulinzi)hiyo inathibitishwa na Ziara za mara kwa mara ya Viongozi wa Marekani barani Afrika.Rais Bush alitembelea Nchi 5 Mwanzoni mwa July na sasa Waziri wa Fedha (Henry Paulson) yupo Afrika kwa ziara ya wiki tatu.

Masuala ya kijeshi ni siri kubwa za serikali,lakini kwenye Nchi huru na ya kidemokrasia kama Tanzania sio siri Tena kulijadili Jeshi letu na mikataba yake.Wanaweza kufanya siri kutia saini utoaji wa Eneo kwa sababu ya shughuli za kijeshi lakini itafika wakati kila kitu kitakuwa wazi.Tulifichwa Kutiwa saini mkataba wa kuruhusu ndege za kijeshi za US kuruka kwenye anga ya Tanzania kulikofanywa na Rais Bill Clinton March/1998 lakini baadaye kila kitu kilikuwa wazi.

Sasa hizi Fununu za Us kupewa Eneo ndani ya Tanzania zinaweza kuwa na ukweli kwani Mwezi July 2007 Rais Bush alipotembelea Uganda aliweka jiwe la Msingi sehemu ambayo kitajengwa kituo cha kutia mafuta Ndege za Jeshi la Marekani,sasa hawa waungwana wanakuja taratibu,walianza kuomba ruhusa ya kurusha ndege zao kwenye Anga yetu,na wakapewa Eneo la aircraft refueling kwa maana hiyo sasa watakuja na issue ya BASE.

Wamarekani wana kituo kikubwa cha kijeshi Africa kilichopo kwenye Meli huko katikati ya Bahari ya Hindi sehemu iitwayo Diego Garcia.

Mama MWK aksante kwa habari yako hii,Muungwana atakuja huko tarehe 12/12 tutaiona delegation atakayokuja nayo na ni wazi ukweli utajulikana,mambo hayo hayana siri!!!

Mwawado,

Asante sana kwa maelezo yako.
Kuna kitu kimoja watu wanakosea sana, wanapotaka kufanya siri kila kitu hata vile ambavyo havitakiwi kuwa siri.

Haya mambo ya siri kama mwanakijiji alivyosema ndiyo yalipelekea Tanzania ikanunua rada mbovu na waliojaribu kuhoji wakaitwa all kinds of names ikiwemo la kutishia usalama wa Taifa.

Kuweka haya mambo hadharani hasa katika forum kama hii, ni kuipa pia nafasi serikali ikaspin mambo positively. In the end, Jamaa wataweka kambi somewhere in Afrika, inaweza kuwa TZ, Kenya au nchi nyingine kibao tu zisizojali.

Kuna mengi yanawekwa hapa lakini pia kuna mengi yanatunzwa bila kuwekwa hapa. Kama watu watafikiria kama Kalamu kuwa mada zina mvuto wa kisiasa na kuvunja amani ya nchi, kazi iko kubwa sana huko mbele ya safari.
 
MwK, what a good response, nimependa sana majibu yako, kwani yana ukweli mwingi tu... kuna thread hii: http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=5345&highlight=frelimo, nilichangia, mambo yaliyoongelewa yalihusisha jeshi, ghafla mtu akaja na kupost kuwa haturuhusiwi kuongelea mambo fulani... Mwawado ilibidi afute baadhi ya posts, pia posts nyingine pia zilifutwa mara moja. Sasa sijui, inawezekana hili nalo linahusiana...sijui miye..

SteveD.

SteveD,

Ninaamini sana kazi ya wadosi wa Jambo Forums na sidhani kama walizuia hiyo mada ulotaja hapo juu au kuhamisha ya kwangu kwa masuala ya kisiasa au kwa kutishwa.

Inasikitisha kwa kilichotokea ila ndio hivyo tena mambo haya yatachukua muda kabla watu wengi zaidi hawajaukubali ukweli na umuhimu wa kuweka mambo wazi - esp mambo muhimu kwa taifa letu.

Asante nawe pia.
 
Mwawado,

Asante sana kwa maelezo yako.
Kuna kitu kimoja watu wanakosea sana, wanapotaka kufanya siri kila kitu hata vile ambavyo havitakiwi kuwa siri.

Haya mambo ya siri kama mwanakijiji alivyosema ndiyo yalipelekea Tanzania ikanunua rada mbovu na waliojaribu kuhoji wakaitwa all kinds of names ikiwemo la kutishia usalama wa Taifa.

Kuweka haya mambo hadharani hasa katika forum kama hii, ni kuipa pia nafasi serikali ikaspin mambo positively. In the end, Jamaa wataweka kambi somewhere in Afrika, inaweza kuwa TZ, Kenya au nchi nyingine kibao tu zisizojali.

Kuna mengi yanawekwa hapa lakini pia kuna mengi yanatunzwa bila kuwekwa hapa. Kama watu watafikiria kama Kalamu kuwa mada zina mvuto wa kisiasa na kuvunja amani ya nchi, kazi iko kubwa sana huko mbele ya safari.

Mwafrika wa Kike:
Hunitendei haki hata kidogo kwa kunitwisha upindishaji wa mawazo yangu kama ulivyofanya hapo juu. Hakuna mahali popote niliposema au kufikiria hayo uliyoyasema hapo juu. Sio sahihi kupindisha yaliyosemwa na katika mazingira yalimosemewa. Nenda tena ukasome yaliyoandikwa mwanzo.
 
Mwafrika wa Kike:
Hunitendei haki hata kidogo kwa kunitwisha upindishaji wa mawazo yangu kama ulivyofanya hapo juu. Hakuna mahali popote niliposema au kufikiria hayo uliyoyasema hapo juu. Sio sahihi kupindisha yaliyosemwa na katika mazingira yalimosemewa. Nenda tena ukasome yaliyoandikwa mwanzo.

Mkuu Kalamu,

Unajua kabisa kuwa mimi nawe tunaheshimiana na tuna historia ndefu kuanzia wakati ule wa Sherehe ya mama Migiro. Sina sababu ya kupindisha au kukuwekea chochote ili uonekani hufai. Labda usome tena ulichoandika (msisitizo kwenye rangi nyekundu):

Kalamu said:
Jumamosi iliyopita hapa JF palikuwepo na mjadala uliohusu Kikwete kuwauzia waMarekani sehemu ya kuweka kambi ya kijeshi kwa jeshi la waAmerica.

Tuliambiwa Rais wetu atafunga safari ya kwenda huko hivi karibuni kuonana na wahusika ili jambo hilo lijadiliwe na pengine likubalike.

Hii ni taarifa nzito sana isiyohitaji utani, na hata kama ni katika nyanja za upinzani wa kisiasa, jambo kama hili ni zito mno; na hasa linapohusishwa na ofisi kuu ya kitaifa kama hiyo ya Rais wa nchi.

Mtu mzima ukiwa ni mwenye akili timamu ukiamua kukaa mbele ya kompyuta na kupanga uongo kama huo na kuusambaza kwenye kadamnasi ya watu, kwa sababu tu za kipinzani za kisiasa; (mtaniwia radhi nikisema kuwa) utakuwa una mawazo ya kihaini kwa nchi yako.

Jumapili tunaambiwa Rais Kikwete anakwenda huko kwa shughuli za kibiashara (Sullivan.......), jambo ambalo lipo mbali kabisa na hiyo mipango iliyosemwa katika mjadala ule.

Maombi yangu ni kwamba tusiupeleke mbali sana huu upinzani wa kisiasa tukafikia hata mahali pa kuuana au kulisaliti taifa letu.

Ninazielewa mbinu chafu zinazotumika katika siasa, lakini kila mara tuwe waangalifu kuhakikisha kuwa tunaweka usalama wa taifa letu katika janga
.

Labda una maana tofauti sana na matumizi ya maneno uhaini, tunaweka usalama wa taifa letu, kuuana, kulisaliti taifa, kutunga uongo, nk

Una kila sababu ya kusema utakacho ila pia ni vyema uka-own kile unachosema kwani ni moja ya principles za demokrasia hapa.
 
Kalamu, labda utunyambulishie yale uliyoyasema awali, na matumizi yako ya kuwa mtu ana "mawazo ya kihaini" na ya kuwa madai kuwa kuna mpango wa Marekani kutaka kufungua kambi ya kijeshi nchini ni "uongo". Kama hukumaanisha makali ya maneno hayo unaweza kuyamwagia maji kidogo kuyapoza kidogo. Vinginevyo kwa kadiri yanavyosimama sasa ni kuwa unaamini kuwa alichokisema Mwafrika kinapakana kidogo na "uhaini" kwa kuweka habari hizi hadharani.
 
Bint,
Suala la mbandika mada, yeye atajibu kwa hoja zake.
Swali lako la pili ni kwamba, hukuwa umesoma vizuri mtitiriko au ndio ktk kukurupuka kukosoa watu......nilikuwa nazungumzia RAIS WA TANZANIA!!!!! Na bwana Kalamu akajibu hapo juu kwamba Nyerere asingekubali, ambayo pia ni issue nyingine kwa siku nyingine ila nikasema imeshajijibu huko juu. Kuhusu Chavez kama unamjua wewe basi mie pia namjua, wenzako wanamtania "Chavez the stupid bully." Huwezi ku-compare Venezuela na Bongo!! wenzako wana Citgo ambayo Chavez anaitumia kama one of his propaganda machines ktk USA. Kuna Bango kubwaaa la Citgo pale Kenmore in Downtown Boston, uliza wangapi in Washington wametaka lishuke na ku-boycott Citgo? wengi lakini wameshindwa.....usimwige Chavez mwenzio ana "black gold" na wakti wa winter anavurumisha mafuta kwa discount in New England kwa kutumia partnership yake na Joe Kennedy,Jr(family ya Kennedy na mtoto wa Joseph Kennedy,Sr). Maana yake ni nini?? think!!!. Nakutakia week njema.

Wewe naona ukilaza umekuzidi hata kujadiliana nawe inatia kinyaa. Sasa hayo mafuta anayovurumsha sio ndio na sisi tuna haya ma-magold na ma-diamond na ma-tanzanite etc tulitakiwa tuvurumshe? Lakini kwa kuwa tunaongozwa na vilaza kama wewe ndio tumewaachia wazungu wanabeba sisi tunabaki tumekenua mamidomo kama mazuzu! Tuliulizwa kwa nini nyie bado ni maskini na mamali yote, tunasema eheee hee hata mimi sielewi ni kwa nini! Tumeliwa.
 
Wewe naona ukilaza umekuzidi hata kujadiliana nawe inatia kinyaa. Sasa hayo mafuta anayovurumsha sio ndio na sisi tuna haya ma-magold na ma-diamond na ma-tanzanite etc tulitakiwa tuvurumshe? Lakini kwa kuwa tunaongozwa na vilaza kama wewe ndio tumewaachia wazungu wanabeba sisi tunabaki tumekenua mamidomo kama mazuzu! Tuliulizwa kwa nini nyie bado ni maskini na mamali yote, tunasema eheee hee hata mimi sielewi ni kwa nini! Tumeliwa.

Sawa, Mie ni kilaza na wewe ni smart. Asante!!!.
 
Wana JF lazima tuwe macho. Si waungwana walisema lisemwalo lipo na kama halipo linajongea. Sasa mboma mazee anadai huu ni huzushi. Kwani ulipaswa kujulishwa kila kitu kwenye ziara ya Mh US? Mambo mengine ukisikia tafakari kwa kina. SADC wanaangaisha kichwa sana juu ya kambi ya marekani. Si kwamba hawapendi lakini tambua kambi hiyo ni kwa ajili yakujinyonga wenyewe.
Mmarekani hazipandi na Sudan, libya, Somalia na wengine kibao.
Huyu Mr. President si anajifanya mtoto wa mjini anadaka deal chap chap ili kuwapiku majirani zetu kumbe anatutia kwenye kisiwa. What ukoloni. Sisi ni masikini UNATUANGAISHA mwingine utajiri unampa shida kiasi hajui mipaka yake ya kujilinda inaishia wapi. Do you think it is fair hata kama Huyu comred hana option. Why so soft namna hii ni noma.
Pia lazima tuwe macho, Mzee wetu Ben alikula sana kuku England matokeo yake akaibuka na Rada. Mr wetu huko USA ndo sehemu ya kupumulia unachosikia ni Mbuga ya Serengeni kumilikishwa kwa Tycoon wa Kimarekani. Sasa ukishangaa ya Musa Utayaona ya FILAUNI. Si unakumbuka mwanzo mwanzo wakati Mh alikuwa anagoma kupiga round out alikuwa anakwenda kupumzika serengeti almost twice sasa leo ukisikia jamaa alifanya mkutano na M-USA anayewekeza huko si lazima utiye shaka what's going on. Wana JF bring news on impact of serengeti investment na hii ya kambi ya USA.
Hivi uhahini una maana ghani na unafanyika publicly? Check your sovereignt correctly

Samahani, YNIM naomba nikuulize yafuatayo kuhusu ubabe wa Marekani:

Je, ubabe wao wa kutulazimisha/kutupelekesha sisi kujiunga nao katika mambo watakayo:

--- umekuwa rahisi kuwezekana hivi sasa kuliko wakati wa Mwl. Nyerere au ulikuwa rahisi wakati wa Mwalimu?

---umekuwa rahisi kutendeka hivi sasa baada ya 9/11 au kabla yake?

---umekuwa rahisi kutendeka hivi sasa baada ya uvamizi wa Iraq au kabla?

Ni hayo tu, asante.

SteveD.
 
Wana JF lazima tuwe macho. Si waungwana walisema lisemwalo lipo na kama halipo linajongea. Sasa mboma mazee anadai huu ni huzushi. Kwani ulipaswa kujulishwa kila kitu kwenye ziara ya Mh US? Mambo mengine ukisikia tafakari kwa kina. SADC wanaangaisha kichwa sana juu ya kambi ya marekani. Si kwamba hawapendi lakini tambua kambi hiyo ni kwa ajili yakujinyonga wenyewe.
Mmarekani hazipandi na Sudan, libya, Somalia na wengine kibao.
Huyu Mr. President si anajifanya mtoto wa mjini anadaka deal chap chap ili kuwapiku majirani zetu kumbe anatutia kwenye kisiwa. What ukoloni. Sisi ni masikini UNATUANGAISHA mwingine utajiri unampa shida kiasi hajui mipaka yake ya kujilinda inaishia wapi. Do you think it is fair hata kama Huyu comred hana option. Why so soft namna hii ni noma.
Pia lazima tuwe macho, Mzee wetu Ben alikula sana kuku England matokeo yake akaibuka na Rada. Mr wetu huko USA ndo sehemu ya kupumulia unachosikia ni Mbuga ya Serengeni kumilikishwa kwa Tycoon wa Kimarekani. Sasa ukishangaa ya Musa Utayaona ya FILAUNI. Si unakumbuka mwanzo mwanzo wakati Mh alikuwa anagoma kupiga round out alikuwa anakwenda kupumzika serengeti almost twice sasa leo ukisikia jamaa alifanya mkutano na M-USA anayewekeza huko si lazima utiye shaka what's going on. Wana JF bring news on impact of serengeti investment na hii ya kambi ya USA.
Hivi uhahini una maana ghani na unafanyika publicly? Check your sovereignt correctly

Agao Kichore,

Watu wameamua kutumia lugha kuwa mengi yanayowekwa hapa yana nia za kisiasa na sio kwa manufaa ya Taifa.

Issue ya kuuzwa serengeti imewekwa hapa na ilijadiliwa. Kuna mambo mengi sana ambayo yana utaifa zaidi ya vile watetezi wa hiyo side nyingine watataka iaminiwe.

Issue ya Rada ilipoulizwa, jibu lilikuwa kuwa mambo ya kijeshi na usalama wa taifa hayajadiliwi.

Issue ya ndege mbili za rais (zilizonunuliwa kwa bei ghali kuliko bei ya kawaida) zilipoulizwa, kuna waziri alijibu kuwa hata kama watanzania wakila nyasi bado ndege itanunuliwa tu.

Issue ya BOT ilipoanza kuenea, serikali iliunda kamati eti ya kufuatilia chanzo cha ile email iliyopitia hapa JF na kufika bungeni (what a waste of time and money).

Issue ya........ kuna mengi sana nikiandika kuna watu watasema ninafanya hivyo ili kuitoa ccm madarakani. Sijui nini kinatishia usalama wa taifa, kutumbua mabilioni ya wananchi bila sababu au kuuliza kwa nini yamefanyika?
 
Somalia na Sudan siziko kwenye CENTICOM ambayo makao makuu yake yako Florida? Ila sitoshangaa wakiamua kuziweka zote kwenye AFRICOM

centcomaoruq3.JPG
 
Wakuu enzi za itikadi za chama ziliisha siku nyingi, kama US kuweka base bongo ni uhaini, basi hata kuuza benki zetu kwa makaburu ulikuwa ni uhaini, it does not make a sense, siasa ni uchumi wakuu sasa!

Sehemu zote duniani ambako US wana base, kuna manufaa makubwa kwa hayo mataifa kiuchumi, maana US hulipia kuwepo kwa base zake kwenye nchi hizo, sasa kama inakuja kwetu kama Mwafrika Wa Kike, anavyosema basi hiyo itakuwa ni ecomnomic plus kwa taifa letu, kwanza kutakuwa na ajira kwa the locals, na kodi juu pia,

Pamoja na kwamba huu bado ni uvumi tu, lazima wananchi tujifunze kuangalia ishus kwa mtizamo positive sometimes, sio kila kitu tu inageuka kuwa siasa za CCM na upinzani, maendeleo hamna kwa both side ila makelele tu, matokeo yake hatuaminiani kwa kila kitu as if tuna laaa mana la ku-hide kumbe ni uozo mtupu, yaani sasa hata mbunge wa upinzani asichaguliwe kusimamia taifa, basi maneno mengiii yasiyokuwa hata na sense kidogo,

Ziara za rais nje tumewaomba mtuwekee muongozo wa rais katika katiba yetu kuhusiana na safari za rais kwa ujumla, kama kusaifiri kwake sana ni nje ya katiba basi tuizungumzie hilo, hamna facts ila hadithi tuuu, wakuu sometimes tunaonekana kama crying babies, yaani kulia lia tuuuu bila facts tutaacha lini?

Kama huu uvumi ni kweli, Ubaya wa kuwekwa base ya US bongo ni nini? Wekeni facts hapa mkilinganisha na nchi ambazo US wana base, kama Japan, Quatar, Panama, Cuba, Germany, Saudia, je kuwepo kwa US base huko kumeleta madhara gani na hasara zipi kwa hayo mataifa ili nasi tujikinge mapema, othewise tunakuwa crying babies wakuu! uwanja mkubwa sana huu, tubadilike tufafanane na hadhi ya uwanja huu, wasioweza hatuna pipi za kuwapa waende huko darhotwire, na dailynews, hapa mawe tu ya kiutuuzima yaliyokomaaa kisiasa na kitaifa.

Ahsante Wakuu!
 
Wakuu enzi za itikadi za chama ziliisha siku nyingi, kama US kuweka base bongo ni uhaini, basi hata kuuza benki zetu kwa makaburu ulikuwa ni uhaini, it does not make a sense, siasa ni uchumi wakuu sasa!

Sehemu zote duniani ambako US wana base, kuna manufaa makubwa kwa hayo mataifa kiuchumi, maana US hulipia kuwepo kwa base zake kwenye nchi hizo, sasa kama inakuja kwetu kama Mwafrika Wa Kike, anavyosema basi hiyo itakuwa ni ecomnomic plus kwa taifa letu, kwanza kutakuwa na ajira kwa the locals, na kodi juu pia,

Pamoja na kwamba huu bado ni uvumi tu, lazima wananchi tujifunze kuangalia ishus kwa mtizamo positive sometimes, sio kila kitu tu inageuka kuwa siasa za CCM na upinzani, maendeleo hamna kwa both side ila makelele tu, matokeo yake hatuaminiani kwa kila kitu as if tuna laaa mana la ku-hide kumbe ni uozo mtupu, yaani sasa hata mbunge wa upinzani asichaguliwe kusimamia taifa, basi maneno mengiii yasiyokuwa hata na sense kidogo,

Ziara za rais nje tumewaomba mtuwekee muongozo wa rais katika katiba yetu kuhusiana na safari za rais kwa ujumla, kama kusaifiri kwake sana ni nje ya katiba basi tuizungumzie hilo, hamna facts ila hadithi tuuu, wakuu sometimes tunaonekana kama crying babies, yaani kulia lia tuuuu bila facts tutaacha lini?

Kama huu uvumi ni kweli, Ubaya wa kuwekwa base ya US bongo ni nini? Wekeni facts hapa mkilinganisha na nchi ambazo US wana base, kama Japan, Quatar, Panama, Cuba, Germany, Saudia, je kuwepo kwa US base huko kumeleta madhara gani na hasara zipi kwa hayo mataifa ili nasi tujikinge mapema, othewise tunakuwa crying babies wakuu! uwanja mkubwa sana huu, tubadilike tufafanane na hadhi ya uwanja huu, wasioweza hatuna pipi za kuwapa waende huko darhotwire, na dailynews, hapa mawe tu ya kiutuuzima yaliyokomaaa kisiasa na kitaifa.

Ahsante Wakuu!

Tatizo? Ni kuwa target wa wasioipenda marekani!! Walishalipua ubalozi wa marekani na wote tunajua ni nani walidhulika zaidi! Kuwepo kwa base kama hii kutatuongezea mzigo wa usalama. Lakini naamini wanayoijadili issue hii ( kama ni ya kweli) wanaangalia pande zote.
Tatizo lingine? Kuporonyoka kwa maadili katika jamii yetu. Kwa bahati mbaya askari wa kimarekani hawana sifa nzuri katika mahusiano yao na jamii inayowahost, kuanzia Vietnam, Okinawa n.k! Imagine hawa mabwana na hizo dola zao watakavyochengua jamii yetu!!
 
Back
Top Bottom