JF ...Auto reply ...will miss you guys!

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,373
Peoplez nawapenda sana nashukuru mungu tumeishi vyema kuanzia January mpaka sasa tunaelekea mwisho wa mwaka ,na tunatarajia kuanza mwaka mpya wa 2011 ,naomba mwenyezi mungu wa upendo atupe salama woooooooote JF na family zetu na wale wenye ma G/F wachumba na wazee wa Infiiiiii. tuufukie na tuanze salama new year huku malengo yetu yakitimia.
Nawashukuru wapwaz na mabinamu wote tulioshirikiana bila matatizo katika post mbali mbali na kimawasiliano,mmekuwa watu wema sana kwangu na imani katika harakati zangu za Ubunge 2015 mtanipa support ya nguvu.Natanguliza shukrani
Nadhani sitaingia JF kwa kipindi chote hiki ama nitaingia kwa kuchungulia na kutoka .
Upendo wangu uwe mioyoni mwenu mpaka hapo January tutakapokuwa wote kwa mapenzi yake mwenyezi mungu.
I love you all and God bless you
FL1
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
 
We love u too mamito.
Merry xmas n happy new year to u n your family.
Be blessed.
 
Mama unaenda wapi huko usikoweza kucheki JF ,,tutakumiss sana ,mungu akulinde na family yako enjoy sikukuu zote
 
usitusahau mazawadi ukirudi huo mwezi wa mtoto wa makamba. naruhusiwa kulia baada kusoma haka kaposti?
 
Shem, usituchoke mapema hivi bana.,hivi una hbr kwmb Jf hata ukiwa kwenye kaburi unaipata, ili mradi liwe na antenna(msalaba?).
Lkn kmbka khs safari ye2 huko Manyara,..siti imeshawekwa.
 
Najua unaelekea kule kijijini
Usisahau kurudi na viazi vitamu
Sikuku njema
Love you too
 
Kumbe na wewe ni mitaa ya chini ya Mlima Kilimanjaro upande wa Tz..
Sikukuu njema mama mkubwa..
 
sikukuu njema but remember not to over celebrate.always remember there is a day called tomorrow
 
Back
Top Bottom