Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kila mtu ana vionjo vyake kwenye maisha. Kwangu mimi hizi ndizo Avatar zilizonivutia kwa mwaka 2011. Salute kwao!!
View attachment Avatar!!.docx
View attachment Avatar!!.docx
Ya kwangu imetajwa? Manake ndo the best avatar ever..!
hivi kwa nini wasichana wengi hawapendi kuweka picha zao halisi??au hawajiamini??
hiyo ndo ya kwako halisi?
Hebu nijibu kwa PM huku ukiambatanisha namba yako ya simu.
hivi kwa nini wasichana wengi hawapendi kuweka picha zao halisi??au hawajiamini??
ya kwangu ndio..namba ya simu sina labda nikupe namba ya mume wangu.
hivi kwa nini wasichana wengi hawapendi kuweka picha zao halisi??au hawajiamini??
Wengine hawaweki kwa sababu wanaogopa kusumbuliwa na wanaume kama TANMO.
yangu ofukozi.
hivi kwa nini wasichana wengi hawapendi kuweka picha zao halisi??au hawajiamini??