The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Safi sana pj tukipata nafasi tutachomka tuje huko
JF to the next level, big up sana....tunapata stress kwenye maisha ya kawaida tunakuja kurelax JF, sio tunapata furaha kwenye maisha ya kawaida halafu tuje kuwa stressed JF
Hunijui sikujuj......???????
Shemeji please Add me to the list Usinibanie ati
Heshima kwako PakaJimmy,
Mkuu tayari nilikuwa na mpango wa kutembelea Manyara na Tarangire na ikiwezekana Momela.Nitakuwa na familia tatizo gari yangu haina 4WD na mvua zimeshaanza kunyesha.Nitawasiliana na wewe kabla ya hizo tarehe kama mvua zitaendelea kuwa kubwa.Vyovyote itakavyokuwa nitajitahidi kuwasiliana na wewe zaidi ni kufahamiana.
Shemeji please Add me to the list Usinibanie ati
Kati ya hao 5 na mm nimo
wewe tena!!!bora akose mwingine
Ngongo,
Natanguliza heshima sana kwako!
Nashukuru sana kuwa umerespond haraka hivi!
Kimsingi ni kwamba mvua zimenza kunyesha, na hii inaweza kutuyumbisha kidogo.
Lakini binafsi nina mawasiliano ya karibu na watu wa porini, na tutakuwa tunasoma mazingira kadiri muda unavyosogea...Lakini pia idadi ya watakaorespond itachangia sana kufikia muafaka wa aina ya usafiri!
Ni jambo la faraja sana kuwa ulikuwa na mpango wa kwenda sehemu mojawapo kati yahizo...Maisha ni mafupi bana, kwanini mtu binafsi ayafanye kuwa mabaya in addition?..Hongera!
Kama plan yako ita'take-off, well and good, na kama itakuwa vinginevyo, basi tafadhali jiunge na sisi!
Kila mmoja wetu ana hamu sana kufanya jumuiko hili la kufahamiana!
kIONGOZI WANGU KARIBU SANA!
shemeji please add me to the list usinibanie ati
Wooow...how good!Shemeji please Add me to the list Usinibanie ati
PJ inahitaji ukomandoo wa kikwelii. Kama hujapita JKT mazee huku hukuwezi. Nafurahi tuko wengi . Together We StandYour Wish granted Sir!
OlMatejoo mkuu wangu hapo ni mshikemshike, i dont know how you manage!...lakini home is best!
Mfamaji nafurahi kuwa tuko pamoja kama samaki na maji!...be connected, and I am sure we gonna make this thing a success and memorable!
Kimsingi nimeiweka hiyo point yako pale mwisho wa thread yangu..ni jambo la wazi,na ni huru kwa m-JF yeyote, naomba nieleweke hivyo!
Mkuu, kama utakuwepo usisite, tuwasiliane-karibu sana!
Mkuu Ngongo,Heshima kwako PakaJimmy,
Mkuu kwakuwa nitaongozana na familia ningependa kujua tarehe na saa ya safari ikiwezekana msafara uwe mmoja bana.
PJ ashenale,,,
Naamini itakuwa nafasi nzuri ya kufahamiana na ndugu zetu wengi zaidi ambao tunafahamiana kwa keyboard.
Thanx mkuu for ze Big-Up!
Hapo kwenye red nani kakukorofisha tena kiongozi?
Najua mtu wa mwisho unayetaka kumwona ni mimi babu yako. Ndo maana natafakari kama ntapata mapokezi mazuri toka kwako. Na nnajua ni kitu gani kinasababishe usinipende. Lakini taka usitake, utaniona, kwa lazima!
utanipitia mama mkwe