Hakika wasipomsifu mungu BASI jf tutanynyuka kumsifu MUNGU kwa ushind unaoendelea kwenye ya mafisadi wangapi walijua leo moto unaweza waka CCM kiasi hiki kisa walea MAFISADI na wanaokana MAFISADI\\
Moto gani wa mafisadi uliowawakia? kuwasema tu? , sijaona aliyeenda mahakamani, aliyerudisha mali zetu.Kama kusemwa ukweli wanasemwa mkuu, is always topic of the day! hii inakufurahisha mkuu?
Ushindi gani huo? naona kama wameweka iwe hivi ili wawapate watu fulani wa kusema 'tunawashinda' kwa kuwasema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.