Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,355
- 92,640
Umeamuwa kusherehesha au unaripoti ukweli!!?? unaijuwa samasoti wewe?wabunge walifungwa goal 2 - 1. goal lao la kufutia machozi la wabunge lilifungwa na Adam malima kwa samasoti. Mia
Umeamuwa kusherehesha au unaripoti ukweli!!?? unaijuwa samasoti wewe?wabunge walifungwa goal 2 - 1. goal lao la kufutia machozi la wabunge lilifungwa na Adam malima kwa samasoti. Mia
take a closer look
Huyo jamaa mwenye scurf nyuma ya Mdee kwenye kila picha yuko nayo.
hahahahhaaaaa......
Watu wanafuga vitimoto na mabata wewe unafuga ndevu??
Imekula kwako mazima.....
Fuga manyonyo labda yanaweza kutoa megawatt kadhaa....
Hahahahah...
Huyo jamaa mwenye scurf nyuma ya Mdee kwenye kila picha yuko nayo.
Silipendi hilo lijamaa lililovaa skafu hapo nyuma ya Halima!Halima Mdee akiteta na Ngeleja wakati wa mechi ya kuichangia Twiga Stars
View attachment 46151
ngeleja ana manyonyo makubwa kuliko ya halima.......
Stuka.
Umeamuwa kusherehesha au unaripoti ukweli!!?? unaijuwa samasoti wewe?
Hivi kunyoa nywele zote kichwani mtu mzima, maana yake nini? Ngeleja Bwana!