Jezi namaba 9 mgongoni Halima mdee

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
Halima Mdee akiteta na Ngeleja wakati wa mechi ya kuichangia Twiga Stars
Pix-4.JPG
 
no box mkuu.
Niko kitaa nafuga ndevu...

hahahahhaaaaa......
Watu wanafuga vitimoto na mabata wewe unafuga ndevu??
Imekula kwako mazima.....
Fuga manyonyo labda yanaweza kutoa megawatt kadhaa....
Hahahahah...
 
wabunge walifungwa goal 2 - 1. goal lao la kufutia machozi la wabunge lilifungwa na Adam malima kwa samasoti. Mia
 
"............leo utakuwa umechoka sana....jitahidi ukanipe japo kimoja tu............."

Bahati nzuri inaonekana wenzetu huwa hawatemi kitu mbaya kunako mdomo...la sivyo....
 
Back
Top Bottom