Jews ndio Waanzilishi wa Social Network Zote.Je Watanzania Wasomi Wa Computer mnaweza

Bila yao Leo Internet ingekuwa wapi?? Bila ya michango yao Leo tungekuwa wapi?? Tazama kwa kijua hata michango yao ndio maana hata Kikwete aliwahi kwenda Kule Google California na kuongea nao
 
You really don't need to be a Jew to invent... any one can do it.

Ugumu hapa upo katika nchi tunayoishi ... we don't embrace innovations. I bet, hata leo ukitoka na very innovative idea ukaenda kwenye government, universities, au hata kwenye financing institution .... a good chance is that you won't get good support, if any! So, watu watakuaje innovative kwa staili hii?

US ina mikakati mingi sana kwenye huu uwanja, that's why wapo hapo walipo leo. Ingawa kuna ukweli kwamba wayahudi wengi wana vipaji vizuri, lakini haimaanishi kuwa mimi na wewe hatuwezi kufanya kama wanavyofanya wao!

Na kwa kumalizia naweza sema, hata hao jews ukiwaleta kwenye hii serikali ya Jakaya, sidhani kama watafanya vizuri kama wanavyoweza kufanya wakiwa US.
 
You really don't need to be a Jew to invent... any one can do it.

Ugumu hapa upo katika nchi tunayoishi ... we don't embrace innovations. I bet, hata leo ukitoka na very innovative idea ukaenda kwenye government, universities, au hata kwenye financing institution .... a good chance is that you won't get good support, if any! So, watu watakuaje innovative kwa staili hii?

US ina mikakati mingi sana kwenye huu uwanja, that's why wapo hapo walipo leo. Ingawa kuna ukweli kwamba wayahudi wengi wana vipaji vizuri, lakini haimaanishi kuwa mimi na wewe hatuwezi kufanya kama wanavyofanya wao!

Na kwa kumalizia naweza sema, hata hao jews ukiwaleta kwenye hii serikali ya Jakaya, sidhani kama watafanya vizuri kama wanavyoweza kufanya wakiwa US.
Unashangaa sana kuona vijana wengi sana katika vyuo mbalimbali wanaanza na ideas nzuri lakini kwetu ni wana ideas nzuri lakini ni Mazingira mabaya sana, Lakini Watu hawa wana kitu cha tofauti sana,
 
mkuu unamuelewa aliye anzisha ringtone nikikwambia ni kijana mmoja mwenye asili ya kinigeria anaeishi england utakubali ?na wala si mjusi

acha uongo hakuanzisha yeye,yeye alikuwa wa mwanzo kwa uk tu,aliingia tu ,baada ya wengine huko japan na usa kuanzisha.
 
you really don't need to be a jew to invent... Any one can do it.

Ugumu hapa upo katika nchi tunayoishi ... We don't embrace innovations. I bet, hata leo ukitoka na very innovative idea ukaenda kwenye government, universities, au hata kwenye financing institution .... A good chance is that you won't get good support, if any! So, watu watakuaje innovative kwa staili hii?

Us ina mikakati mingi sana kwenye huu uwanja, that's why wapo hapo walipo leo. Ingawa kuna ukweli kwamba wayahudi wengi wana vipaji vizuri, lakini haimaanishi kuwa mimi na wewe hatuwezi kufanya kama wanavyofanya wao!

Na kwa kumalizia naweza sema, hata hao jews ukiwaleta kwenye hii serikali ya jakaya, sidhani kama watafanya vizuri kama wanavyoweza kufanya wakiwa us.

acha mawazo ya kibwege,bill gates hakusaidiwa lolote na serikali ya marekani,hata hiyo facebook haina mchango wa serikali
wewe kama unavumbua kitu,serikali ya nini???
Mbona mengi allianzisha eatv huku akipingwa na serikali za nchi
hizo but today eatv ndio inaunganisha watu wa nchi hizo kuliko kitu chochote kile?????????
 
acha mawazo ya kibwege,bill gates hakusaidiwa lolote na serikali ya marekani,hata hiyo facebook haina mchango wa serikali
wewe kama unavumbua kitu,serikali ya nini???
Mbona mengi allianzisha eatv huku akipingwa na serikali za nchi
hizo but today eatv ndio inaunganisha watu wa nchi hizo kuliko kitu chochote kile?????????
Tatizo Sisi Watanzania tunategemea sana mawazo ya Serikali na kumbe wao ni hoi katika kupanga
 
Kwa Hakika Mungu amewapa Kitu cha Ziada Watu wenye asili ya Jews maana ukijaribu kutazama Waanzilishi wakubwa wa Social Network yote ni Jews People hata asili yao, Jaribu kutazama facebook,Myspace,Youtube, hat wikipedia pia utaona mchango wa wa Jews People,


Interesting Demographics: o World Jewish Population. 14 million
o Distribution: 7m in America
5m in Asia
2m in Europe
100 thousand in Africa

Why?


Here are some of the reasons.


Movers of Current History
o Albert Einstein Jewish
o Sigmund Freud Jewish
o Karl Marx Jewish
o Paul Samuelson Jewish
o Milton Friedman

Medical Milestones
o Vaccinating Needle: Benjamin Ruben Jewish
o Polio Vaccine Jonas Salk Jewish
o Leukaemia Drug Gertrude Elion Jewish
o Hepatitis B Baruch Blumberg Jewish
o Syphilis Drug Paul Ehrlich Jewish
o Neuro muscular Elie Metchnikoff Jewish
o Endocrinology Andrew Schally Jewish
o Cognitive therapy. Aaron Beck Jewish
o Contraceptive Pill Gregory Pincus Jewish
o Understanding of Human Eye. G. Wald Jewish
o Embryology. Stanley Cohen Jewish
o Kidney Dialysis Willem Kloffcame Jewish

Nobel Prize Winners
o In the past 105 years, 14 million Jews have won 180 Nobel prizes.

Inventions that changed History
o Micro- Processing Chip. Stanley Mezor Jewish
o Nuclear Chain Reactor Leo Sziland Jewish
o Optical Fibre Cable Peter Schultz Jewish
o Traffic Lights Charles Adler Jewish
o Stainless Steel Benno Strauss Jewish
o Sound Movies Isador Kisee Jewish
o Telephone Microphone Emile Berliner Jewish
o Video Tape Recorder Charles Ginsburg Jewish

Influential Global Business
o Polo Ralph Lauren Jewish
o Coca Cola Jewish
o Levi's Jeans Levi Strauss Jewish
o Sawbuck's Howard Schultz Jewish
o Google Sergey Brin Jewish
o Dell Computers Michael Dell Jewish
o Oracle Larry Ellison Jewish
o DKNY Donna Karan Jewish
o Baskin & Robbins Irv Robbins Jewish
o Dunkin Donuts Bill Rosenberg Jewish

Influential Intellectuals/Politicians
o Henry Kissinger , US Sec of State Jewish
o Richard Levin, President Yale University Jewish
o Alan Greenspan , US Federal Reserve Jewish
o Joseph Lieberman Jewish
o Madeleine Albright , US Sec of State Jewish
o Casper Weinberger , US Sec of Defence Jewish
o Maxim Litvinov , USSR Foreign Minister Jewish
o David Marshal , Singapore Chief Minister Jewish
o Isaacs Isaacs, Gov-Gen Australia Jewish
o Benjamin Disraeli, British Statesman Jewish
o Yevgeny Primakov, Russian PM Jewish
o Barry Goldwater , US Politician Jewish
o Jorge Sampaio, President Portugal Jewish
o Herb Gray, Canadian Deputy - PM Jewish
o Pierre Mendes, French PM Jewish
o Michael Howard, British Home Sec. Jewish
o Bruno Kriesky, Austrian Chancellor Jewish
o Robert Rubin , US Sec of Treasury Jewish

Global Media Influential
o Wolf Blitzer, CNN Jewish
o Barbara Walters ABC News Jewish
o Eugene Meyer , Washington Post Jewish
o Henry Grunwald, Time Magazine Jewish
o Katherine Graham , Washington Post Jewish
o Joseph Lelyeld, New York Times Jewish
o Max Frankel, New York Times Jewish

Global Philanthropists
o George Soros Jewish
o Walter Annenberg Jewish


Why are they powerful?

What do you conclude?

No need to tell, the figures are speaking themselves very loudly we are unable to listen.
 
Interesting Demographics: o World Jewish Population. 14 million
o Distribution: 7m in America
5m in Asia
2m in Europe
100 thousand in Africa

Why?

Here are some of the reasons.

Movers of Current History
o Albert Einstein Jewish
o Sigmund Freud Jewish
o Karl Marx Jewish
o Paul Samuelson Jewish
o Milton Friedman

Medical Milestones
o Vaccinating Needle: Benjamin Ruben Jewish
o Polio Vaccine Jonas Salk Jewish
o Leukaemia Drug Gertrude Elion Jewish
o Hepatitis B Baruch Blumberg Jewish
o Syphilis Drug Paul Ehrlich Jewish
o Neuro muscular Elie Metchnikoff Jewish
o Endocrinology Andrew Schally Jewish
o Cognitive therapy. Aaron Beck Jewish
o Contraceptive Pill Gregory Pincus Jewish
o Understanding of Human Eye. G. Wald Jewish
o Embryology. Stanley Cohen Jewish
o Kidney Dialysis Willem Kloffcame Jewish

Nobel Prize Winners
o In the past 105 years, 14 million Jews have won 180 Nobel prizes.

Inventions that changed History
o Micro- Processing Chip. Stanley Mezor Jewish
o Nuclear Chain Reactor Leo Sziland Jewish
o Optical Fibre Cable Peter Schultz Jewish
o Traffic Lights Charles Adler Jewish
o Stainless Steel Benno Strauss Jewish
o Sound Movies Isador Kisee Jewish
o Telephone Microphone Emile Berliner Jewish
o Video Tape Recorder Charles Ginsburg Jewish

Influential Global Business
o Polo Ralph Lauren Jewish
o Coca Cola Jewish
o Levi's Jeans Levi Strauss Jewish
o Sawbuck's Howard Schultz Jewish
o Google Sergey Brin Jewish
o Dell Computers Michael Dell Jewish
o Oracle Larry Ellison Jewish
o DKNY Donna Karan Jewish
o Baskin & Robbins Irv Robbins Jewish
o Dunkin Donuts Bill Rosenberg Jewish

Influential Intellectuals/Politicians
o Henry Kissinger , US Sec of State Jewish
o Richard Levin, President Yale University Jewish
o Alan Greenspan , US Federal Reserve Jewish
o Joseph Lieberman Jewish
o Madeleine Albright , US Sec of State Jewish
o Casper Weinberger , US Sec of Defence Jewish
o Maxim Litvinov , USSR Foreign Minister Jewish
o David Marshal , Singapore Chief Minister Jewish
o Isaacs Isaacs, Gov-Gen Australia Jewish
o Benjamin Disraeli, British Statesman Jewish
o Yevgeny Primakov, Russian PM Jewish
o Barry Goldwater , US Politician Jewish
o Jorge Sampaio, President Portugal Jewish
o Herb Gray, Canadian Deputy - PM Jewish
o Pierre Mendes, French PM Jewish
o Michael Howard, British Home Sec. Jewish
o Bruno Kriesky, Austrian Chancellor Jewish
o Robert Rubin , US Sec of Treasury Jewish

Global Media Influential
o Wolf Blitzer, CNN Jewish
o Barbara Walters ABC News Jewish
o Eugene Meyer , Washington Post Jewish
o Henry Grunwald, Time Magazine Jewish
o Katherine Graham , Washington Post Jewish
o Joseph Lelyeld, New York Times Jewish
o Max Frankel, New York Times Jewish

Global Philanthropists
o George Soros Jewish
o Walter Annenberg Jewish


Why are they powerful?

What do you conclude?
No need to tell, the figures are speaking themselves very loudly we are unable to listen.
Asante sana kwa Michango yako yote ndio maana naona kuna ulazima wa kuona hata Chuo Kikuuu Dar walijenga Jews kabla ya Mwalimu Kuvunja uhusiano nao wakati ule
 
Tanzania tunapaswa kuwekeza katika vijana wetu katika nyanja zote za Sayansi na mambo yote
 
acha mawazo ya kibwege,bill gates hakusaidiwa lolote na serikali ya marekani,hata hiyo facebook haina mchango wa serikali
wewe kama unavumbua kitu,serikali ya nini???
Mbona mengi allianzisha eatv huku akipingwa na serikali za nchi
hizo but today eatv ndio inaunganisha watu wa nchi hizo kuliko kitu chochote kile?????????

sidhani kama unajua unachozungumza. Hivi unaelewa umuhimu wa patent, na copyrights katika invention? Hivi unafahamu umuhimu wa financing katika invention?

Kama wewe unaishi Tanzania, basi nenda ka file patent, alafu utaniambia utatoa rushwa kiasi gani kupata hiyo patent document. Na hata kama ukipata hiyo patent, akija mtu mwenye hela/fisadi anaweza ku revoke hiyo patent yako, ingawa ni kunyume na sheria bila wewe kufanya chochote .. tena kama wewe ni kabwela ndio kabisaa utabaki kuzungushwa mwaka mzima....

Patent na copyright za hapa kwetu hazifanyi kazi kwa watu masikini kutokana na rushwa na ufisadi. Na hili ndilo linalofanya wanamuziki wetu hawaendi mbele, ingawa wanatoa single nzuri kila leo.

We unadhani kama serikali haitakuwa na mikakati katika copyright na patent, kulinda innovation za watu, nani mwingine ataweza kufanya hivyo? Alafu unasema huwezi kutegemea serikali, do you know what you are saying?

kama patent itakuwa inalinda makampuni makubwa, mafisadi na watu wenye hela, inamaana watu makabwela hao hawana innovations?

Hivi yule aliyetengeneza helikopta kwa engine ya pikipiki unadhani atasongaje mbele bila msaada toka kwa serikali, au chombo kingine chenye mikakati ya kukuza vipaji? Unadhani anayo hela ya kufungua kiwanda yeye kama yeye akaanza kutengeneza helikopta?

Hata kwenye vyuo US kuna Center for Entrepreneurship ... hapa kwetu vipo wapi? Na hii ndio mikakati nayozungumzia, ambayo mara nyingi huwa ni mikakati ya serikali, ingawa yeyote yule anaweza kuanzisha.

Soma history la Lary Page na mwenzake wa google, then utaona how they got financing for their business. They had a good idea, and then found people to finance it.

How many people have good ideas here in our land, but don't know where to get investors? Kama watanzania, tumejipangaje katika kukusanya innovative ideas kwa watu, then kuzifinance ili zile kama zile za facebook, na google? Kama hiyo mikakati hakuna, unategemea hizo innovation zitoke wapi?
 
sidhani kama unajua unachozungumza. Hivi unaelewa umuhimu wa patent, na copyrights katika invention? Hivi unafahamu umuhimu wa financing katika invention?

Kama wewe unaishi Tanzania, basi nenda ka file patent, alafu utaniambia utatoa rushwa kiasi gani kupata hiyo patent document. Na hata kama ukipata hiyo patent, akija mtu mwenye hela/fisadi anaweza ku revoke hiyo patent yako, ingawa ni kunyume na sheria bila wewe kufanya chochote .. tena kama wewe ni kabwela ndio kabisaa utabaki kuzungushwa mwaka mzima....

Patent na copyright za hapa kwetu hazifanyi kazi kwa watu masikini kutokana na rushwa na ufisadi. Na hili ndilo linalofanya wanamuziki wetu hawaendi mbele, ingawa wanatoa single nzuri kila leo.

We unadhani kama serikali haitakuwa na mikakati katika copyright na patent, kulinda innovation za watu, nani mwingine ataweza kufanya hivyo? Alafu unasema huwezi kutegemea serikali, do you know what you are saying?

kama patent itakuwa inalinda makampuni makubwa, mafisadi na watu wenye hela, inamaana watu makabwela hao hawana innovations?

Hivi yule aliyetengeneza helikopta kwa engine ya pikipiki unadhani atasongaje mbele bila msaada toka kwa serikali, au chombo kingine chenye mikakati ya kukuza vipaji? Unadhani anayo hela ya kufungua kiwanda yeye kama yeye akaanza kutengeneza helikopta?

Hata kwenye vyuo US kuna Center for Entrepreneurship ... hapa kwetu vipo wapi? Na hii ndio mikakati nayozungumzia, ambayo mara nyingi huwa ni mikakati ya serikali, ingawa yeyote yule anaweza kuanzisha.

Soma history la Lary Page na mwenzake wa google, then utaona how they got financing for their business. They had a good idea, and then found people to finance it.

How many people have good ideas here in our land, but don't know where to get investors? Kama watanzania, tumejipangaje katika kukusanya innovative ideas kwa watu, then kuzifinance ili zile kama zile za facebook, na google? Kama hiyo mikakati hakuna, unategemea hizo innovation zitoke wapi?
Naheshimu sana mawazo yako mkuu, na pia Hongera sana kwa kuwa na mawazo Imara siku zote
 
Ndugu wadau wote waliochangia kwa kuandika au kusoma au vyote!
Hoja hii ni chanagamoto na chachu ya kutumia wataalamu wa kitanzania kufanya vimbwanga ambavyo kwa maoni ya wengi vinagusa nyanja nyingi za maendeleo japo mada inahusu social networks!

Sijui kwa nini tumshindanishe Nyangumi na Dagaa au kwa maelezo ya Mwalimu kumshindanisha yeye na Tyson! Uweli unabaki kwamba maendeleo yanapitia hatua mbalimbali na ziko chachu za kle maendeleo hayo kwa mfano:
Ukoloni uleta changamoto ya kudai uhuru.... uhuru tukaambia ni kazi na wajibu... na kadhalika. Sera ya Elimu ni ufunguo wa maisha ilianza kutiliwa makzo hadi kufikia ailimia 85 ya watanzania kujua kusoma na kuandika (tawimu za mwaka 1985 kama sijakosea). Baada ya miako 10 ya uhuru Nyerere aliwaita wakoloni kuja kupima maendeleo ya nchi baada ya wao kondoka.. Hakika mwaka 1971 nchi ilishajijengea misingi imara ya kupaa... viwanda vingi vya msingi.. vyote ambavyo tumekuja kuwauzia wawekezaji vilijengwa katika kipindi cha miaka 10 na 20 ya uhuru wa nchi yetu!..

Ni mwaka huu ndo Rais amezindua mkonga wa wa mawasiliano ya kasi wa "Optic fibre Seacable" ambao unafungua nyanja mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano ..ikiwemo uwezo wa e-government na kufundisha matumizi ya computer na bidhaa zake n.k Kwa hio nadhani sasa tutumie chachu hizi ili kusukuma maendeleo a nchi mbele..SAFARI NANYO NI NDEFU NA INAHITAJI JUHUDI ZA MAKUSUDI TOKA SERIKALI,MASHIRIKA YA UMMA,BINAFSI TAASISI MBALIMBALI NA SISI WENYEWE!

Gharama za Matumizi ya TEHAMA na simu zimekuwa juu kidogo kwa mwananchi wa kawaida kuzimudu na pia tunapotumia nyenzo hizo hatuzitumii kwa ukamilifu wa uwezo wake wote.Ni matumaini yangu kwamba kila mdau atachukua nafasi yake na kusukuma uelewa wa TEHAMA, matumizi ili kuwza kuingia katika mashindano ya kufanya kilicho cha kitanzania katika nyanja hizi.......

Mwisho, napenda kuwapongeza wana JF kwa kuwa mstari wa mbele katika kuanzisha hii "social network ya watanzania" na labda tungefungua milango kwa kujitangaza kwa majirani..nchi za Afrika mashariki zinazounda shirikisho na hatimae afrika nzima kama mtandao pekee unaotumia lugha ya kiswahili na kiingereza. Sijawasahau Mwanakijiji na wana Blog kama kina Michuzi, Mpilipili na wengineo.

Nawakilisha kwa kumwambia Josh Michael kwamba hii ni social network na nina uhakika imebuniwa na watanzania na mengi zaidi yataibuka iwapo tutaedelea kujadili mada kwa upeo wa kibusara na maadili!

TANZANIA YENYE NEEMA NA MAENDELEO YA KITEKNOLOJIA INAWEZEKANA. TUBANANE!!!
 
Hao watu wamejaaliwa kuliko maelezo statistic za haraka utagundua kuwa,
Intel,Oracle,google,dell, holiwood kule zinakotoka moves, hydrojen boombs ambalo hata nuclear bombs haifati na mavitu mengi mno wao ndio haswa.

Nina habari za uhakika kuwa wao ndio wanaongoza kwa ujenzi, Bugando, udsm, na muhimbili wamejenga wao.
 
sidhani kama unajua unachozungumza. Hivi unaelewa umuhimu wa patent, na copyrights katika invention? Hivi unafahamu umuhimu wa financing katika invention?

Kama wewe unaishi tanzania, basi nenda ka file patent, alafu utaniambia utatoa rushwa kiasi gani kupata hiyo patent document. Na hata kama ukipata hiyo patent, akija mtu mwenye hela/fisadi anaweza ku revoke hiyo patent yako, ingawa ni kunyume na sheria bila wewe kufanya chochote .. Tena kama wewe ni kabwela ndio kabisaa utabaki kuzungushwa mwaka mzima....

Patent na copyright za hapa kwetu hazifanyi kazi kwa watu masikini kutokana na rushwa na ufisadi. Na hili ndilo linalofanya wanamuziki wetu hawaendi mbele, ingawa wanatoa single nzuri kila leo.

We unadhani kama serikali haitakuwa na mikakati katika copyright na patent, kulinda innovation za watu, nani mwingine ataweza kufanya hivyo? Alafu unasema huwezi kutegemea serikali, do you know what you are saying?

Kama patent itakuwa inalinda makampuni makubwa, mafisadi na watu wenye hela, inamaana watu makabwela hao hawana innovations?

Hivi yule aliyetengeneza helikopta kwa engine ya pikipiki unadhani atasongaje mbele bila msaada toka kwa serikali, au chombo kingine chenye mikakati ya kukuza vipaji? Unadhani anayo hela ya kufungua kiwanda yeye kama yeye akaanza kutengeneza helikopta?

Hata kwenye vyuo us kuna center for entrepreneurship ... Hapa kwetu vipo wapi? Na hii ndio mikakati nayozungumzia, ambayo mara nyingi huwa ni mikakati ya serikali, ingawa yeyote yule anaweza kuanzisha.

Soma history la lary page na mwenzake wa google, then utaona how they got financing for their business. They had a good idea, and then found people to finance it.

How many people have good ideas here in our land, but don't know where to get investors? Kama watanzania, tumejipangaje katika kukusanya innovative ideas kwa watu, then kuzifinance ili zile kama zile za facebook, na google? Kama hiyo mikakati hakuna, unategemea hizo innovation zitoke wapi?

mwenyewe umeshajijibu hapo,kuwa walitafuta watu waka finance na so serikali,labda nikusaidie kuwa hao watu
wanaitwa venture capitalist,na makampuni yao yaani hizo
venture capitalist firm hazipati msaada wowote wa serikali.
So my point is ver clear still huhitaji serikali .ni hao akina
mengi na bakhresa na wengineo waelimishwe waanzishe hizo
venture capitalist firms,
sio lazima kila kitu serikali iseme.
 
Ndugu wadau wote waliochangia kwa kuandika au kusoma au vyote!
Hoja hii ni chanagamoto na chachu ya kutumia wataalamu wa kitanzania kufanya vimbwanga ambavyo kwa maoni ya wengi vinagusa nyanja nyingi za maendeleo japo mada inahusu social networks!

Sijui kwa nini tumshindanishe Nyangumi na Dagaa au kwa maelezo ya Mwalimu kumshindanisha yeye na Tyson! Uweli unabaki kwamba maendeleo yanapitia hatua mbalimbali na ziko chachu za kle maendeleo hayo kwa mfano:
Ukoloni uleta changamoto ya kudai uhuru.... uhuru tukaambia ni kazi na wajibu... na kadhalika. Sera ya Elimu ni ufunguo wa maisha ilianza kutiliwa makzo hadi kufikia ailimia 85 ya watanzania kujua kusoma na kuandika (tawimu za mwaka 1985 kama sijakosea). Baada ya miako 10 ya uhuru Nyerere aliwaita wakoloni kuja kupima maendeleo ya nchi baada ya wao kondoka.. Hakika mwaka 1971 nchi ilishajijengea misingi imara ya kupaa... viwanda vingi vya msingi.. vyote ambavyo tumekuja kuwauzia wawekezaji vilijengwa katika kipindi cha miaka 10 na 20 ya uhuru wa nchi yetu!..

Ni mwaka huu ndo Rais amezindua mkonga wa wa mawasiliano ya kasi wa "Optic fibre Seacable" ambao unafungua nyanja mbalimbali za teknolojia ya habari na mawasiliano ..ikiwemo uwezo wa e-government na kufundisha matumizi ya computer na bidhaa zake n.k Kwa hio nadhani sasa tutumie chachu hizi ili kusukuma maendeleo a nchi mbele..SAFARI NANYO NI NDEFU NA INAHITAJI JUHUDI ZA MAKUSUDI TOKA SERIKALI,MASHIRIKA YA UMMA,BINAFSI TAASISI MBALIMBALI NA SISI WENYEWE!

Gharama za Matumizi ya TEHAMA na simu zimekuwa juu kidogo kwa mwananchi wa kawaida kuzimudu na pia tunapotumia nyenzo hizo hatuzitumii kwa ukamilifu wa uwezo wake wote.Ni matumaini yangu kwamba kila mdau atachukua nafasi yake na kusukuma uelewa wa TEHAMA, matumizi ili kuwza kuingia katika mashindano ya kufanya kilicho cha kitanzania katika nyanja hizi.......

Mwisho, napenda kuwapongeza wana JF kwa kuwa mstari wa mbele katika kuanzisha hii "social network ya watanzania" na labda tungefungua milango kwa kujitangaza kwa majirani..nchi za Afrika mashariki zinazounda shirikisho na hatimae afrika nzima kama mtandao pekee unaotumia lugha ya kiswahili na kiingereza. Sijawasahau Mwanakijiji na wana Blog kama kina Michuzi, Mpilipili na wengineo.

Nawakilisha kwa kumwambia Josh Michael kwamba hii ni social network na nina uhakika imebuniwa na watanzania na mengi zaidi yataibuka iwapo tutaedelea kujadili mada kwa upeo wa kibusara na maadili!

TANZANIA YENYE NEEMA NA MAENDELEO YA KITEKNOLOJIA INAWEZEKANA. TUBANANE!!!
Naungana na nyinyi wote hapa na mawazo ya kizalendo na pia kuna uhuhimu wa project za mwisho katika vyuo vyetu viwe hai na kufanya kivitendo kabisa kuliko kuwa hivi, kuna haja ya kujua na kubalika haraka sana
 
Hakuna shaka michango hata ya kijeshi na kitaaluma ya jews inaheshimika sana Duniani
 
Unaweza kufungua web moja ya vyuo vyao Yashiva university ambacho Kipo New York na kuona kuwa wanaweza kutoa mchango mkubwa sana
 
Wameweza kuonyesha kuwa wanaweza kuwa wanaweza katika fani zote hivyo kuna haja sisi kama Taifa kwenda kuona liwekeza katika maeneo muhimu sana katika ujenzi wa Taifa letu
 
Back
Top Bottom