The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Mnamkumbuka huyu dada she came into limelight na hiyo bendi kipindi flani na mi binafsi nlikua namhsudu sana.
Sasa alidisappear kimya kimya na ghafla na hadi leo najiuliza bila majibu alienda wapi,ama yuko wapi na anafanya nini?
Kwa anaejua pliz,naomba mnijuze.
Sasa alidisappear kimya kimya na ghafla na hadi leo najiuliza bila majibu alienda wapi,ama yuko wapi na anafanya nini?
Kwa anaejua pliz,naomba mnijuze.