Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
************************
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema ataitisha uchaguzi mkuu ikiwa hakuna Katiba mpya wakati huohuo jeshi la nchi hiyo limesema halitaki kutambua kiongozi mwingine yeyote.
Waziri Mkuu wa nchi hiyo Morgan Tvsangirai amesema viongozi wa kijeshi wa nchi hiyo wamemwambia hawatamruhusu mtu yeyote isipokuwa Robert Mugabe kuongoza nchi hiyo, bila kujali nani anahsinda uchaguzi.
************************
SOURE: MWANANCHI
ISSN: 0856-7573, Na. 04275
DATE: MARCH 11, 2021
PAGE: 08
************************
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amesema ataitisha uchaguzi mkuu ikiwa hakuna Katiba mpya wakati huohuo jeshi la nchi hiyo limesema halitaki kutambua kiongozi mwingine yeyote.
Waziri Mkuu wa nchi hiyo Morgan Tvsangirai amesema viongozi wa kijeshi wa nchi hiyo wamemwambia hawatamruhusu mtu yeyote isipokuwa Robert Mugabe kuongoza nchi hiyo, bila kujali nani anahsinda uchaguzi.
************************
SOURE: MWANANCHI
ISSN: 0856-7573, Na. 04275
DATE: MARCH 11, 2021
PAGE: 08
************************