Halafu kuna mashirika ya nje toka South Afrika na Ulaya yanafanya kazi hizo hizo sijasikia Watu wakiyalaumu ama kuyawekea mashaka kama JKT wakati wanatumia watu wale wale..
Kwa nini nasi tusiwe na chombo chetu cha kujivunia ambacho kinaweza kufanya ulinzi kama chombo cha kitaifa ambacho kinaweza kabisa kulinda nchi yetu.
Kwa nini nasi tusiwe na chombo chetu cha kujivunia ambacho kinaweza kufanya ulinzi kama chombo cha kitaifa ambacho kinaweza kabisa kulinda nchi yetu.