golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
Zanzibar ni nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwenzake akiwa Tanganyika. Sifa moja ya nchi kamili ni kuwa na jeshi la ulinzi la kulinda mipaka na watu wake. Lakini naomba niulize swala moja tu....
Hivi wandugu, Zanzibar kuna jeshi kamili? kwa nini mara kadhaa wanajeshi wanapelekwa zanzibar kutuliza hata fujo za wahuni tu? au JMT inahesabu zanzibar kama mkoa?
Mwenye ufahamu kuhusu muundo wa jeshi Zanzibar anifahamishe tafadhali!
Hivi wandugu, Zanzibar kuna jeshi kamili? kwa nini mara kadhaa wanajeshi wanapelekwa zanzibar kutuliza hata fujo za wahuni tu? au JMT inahesabu zanzibar kama mkoa?
Mwenye ufahamu kuhusu muundo wa jeshi Zanzibar anifahamishe tafadhali!