MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Ustaarabu na uwezo wa kufikiri, uvumilivu na kukataa kuburuzwa kwa maslahi ya watawala dhalimu ni LEARNING EXPERIENCE ambayo Majeshi ya Misri na Tunisia yameonyesha.
Tulichoona ni kwamba majeshi ya Misri na Tunisia yameweza kwa kiasi kikubwa kupambanua nafasi yao katika nchi. Wanajitambua wako kwa ajili ya nini na nani na ndio maana wameweza kuwa facilitators badala ya stumbling block kwa mabadiliko yaliyotokea nchini kwao.
Wameweza kupima kila amri waliyopewa na wakubwa kabla ya kukurupuka na kuitekeleza
Ni dhahiri wanajua si lazima kutekeleza kila amri wanayopewa na wakubwa bila kuangalia maslahi yake kwa walio wengi.
Kwa namna hii wamejua wao wako kuilinda nchi na raia wake na siyo kuwaua wale waliopewa thamana kuwalinda maadam wanachofanya siyo dhambi wala uvunjifu wa sheria bali kudai haki.
Hebu tuje hapa kwetu Tanzania.
Tofauti iliyopo kati ya majeshi ya Tanzania haswa kuhusu mtazamo wao kwa raia ni sawa na usiku na mchana.
Majeshi ya Tanzania wana perceive kuwa jeshi maana yake ni ubabe, amri, kutosiliza kupiga na kufanya unacho amriwa na amiri Jeshi mkuu
Polisi wanafurahia na kushabikia kuwapiga wanafunzi wenye mabango tu kwa mabomu ya machozi bila kufikiri kwamba anaweza kuwepo ndugu yake au mtoto wa rafiki yake. Polisi bila kujua kwamba
Polisi wanaua tu raia eti kwa sababu wakubwa zao hawataki watu wafanye maandamano ya kuwapongeza wapiga kura wao kwa kuwachagua.
Polisi wetu na majeshi mengine huwa fahamu zao wanaacha nyumbani na kutumia fahamu za wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, ma OCD na RPCs. Hawatumii utashi wao kwani wamekuwa kama mbwa ambao mara zote wanataka kutikisa mikia kuwa please mabwana zao.
Je Watanzania leo tukiamua kuleta mabadiliko kwa namna walivyofanya Misri na Tunisia polisi na Jeshi wataua watu wangapi? Je kwa kiasi gani jeshi letu JWTZ inaweza vumilia kuona raia wanapanda juu ya vifaru na kuwakumbatia?
Nasema Polisi na Jeshi la TZ kwa kiasi kikubwa wamekuwa na wataendelea kuwa kikwazo kwa mabadiliko ya kiraia hapa TZ na wasifikiri wataepuka kuwa waathirika wa viongozi wabovu. Kigezo cha nidhamu ya kijeshi kitaendelea kuwatesa iwe ni umaskini kutokana na uongozi mbovu hadi pale watakapofunguka macho kama wenzao wa Misri na Tunisia
Hii ni changamoto kubwa kwa majeshi ya Tanzania ambayo utendaji wao unategemea utashi wa wakuu wao na viongozi watawala wa kisiasa ambao hutumia vyombo hivi zaidi kulinda maslahi yao binafsi. Majeshi yetu yamekuwa kama ROBOTI ambazo hazina akili zao wenyewe bali remote ya wakuu wao na akina makamba, mwana wa mkulima na mwanakijiji wa Msoga.
FUNGUKENI NA JIFUNZENI KWA WENZENU ACHENI KUWA ROBOTI.
Tulichoona ni kwamba majeshi ya Misri na Tunisia yameweza kwa kiasi kikubwa kupambanua nafasi yao katika nchi. Wanajitambua wako kwa ajili ya nini na nani na ndio maana wameweza kuwa facilitators badala ya stumbling block kwa mabadiliko yaliyotokea nchini kwao.
Wameweza kupima kila amri waliyopewa na wakubwa kabla ya kukurupuka na kuitekeleza
Ni dhahiri wanajua si lazima kutekeleza kila amri wanayopewa na wakubwa bila kuangalia maslahi yake kwa walio wengi.
Kwa namna hii wamejua wao wako kuilinda nchi na raia wake na siyo kuwaua wale waliopewa thamana kuwalinda maadam wanachofanya siyo dhambi wala uvunjifu wa sheria bali kudai haki.
Hebu tuje hapa kwetu Tanzania.
Tofauti iliyopo kati ya majeshi ya Tanzania haswa kuhusu mtazamo wao kwa raia ni sawa na usiku na mchana.
Majeshi ya Tanzania wana perceive kuwa jeshi maana yake ni ubabe, amri, kutosiliza kupiga na kufanya unacho amriwa na amiri Jeshi mkuu
Polisi wanafurahia na kushabikia kuwapiga wanafunzi wenye mabango tu kwa mabomu ya machozi bila kufikiri kwamba anaweza kuwepo ndugu yake au mtoto wa rafiki yake. Polisi bila kujua kwamba
Polisi wanaua tu raia eti kwa sababu wakubwa zao hawataki watu wafanye maandamano ya kuwapongeza wapiga kura wao kwa kuwachagua.
Polisi wetu na majeshi mengine huwa fahamu zao wanaacha nyumbani na kutumia fahamu za wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, ma OCD na RPCs. Hawatumii utashi wao kwani wamekuwa kama mbwa ambao mara zote wanataka kutikisa mikia kuwa please mabwana zao.
Je Watanzania leo tukiamua kuleta mabadiliko kwa namna walivyofanya Misri na Tunisia polisi na Jeshi wataua watu wangapi? Je kwa kiasi gani jeshi letu JWTZ inaweza vumilia kuona raia wanapanda juu ya vifaru na kuwakumbatia?
Nasema Polisi na Jeshi la TZ kwa kiasi kikubwa wamekuwa na wataendelea kuwa kikwazo kwa mabadiliko ya kiraia hapa TZ na wasifikiri wataepuka kuwa waathirika wa viongozi wabovu. Kigezo cha nidhamu ya kijeshi kitaendelea kuwatesa iwe ni umaskini kutokana na uongozi mbovu hadi pale watakapofunguka macho kama wenzao wa Misri na Tunisia
Hii ni changamoto kubwa kwa majeshi ya Tanzania ambayo utendaji wao unategemea utashi wa wakuu wao na viongozi watawala wa kisiasa ambao hutumia vyombo hivi zaidi kulinda maslahi yao binafsi. Majeshi yetu yamekuwa kama ROBOTI ambazo hazina akili zao wenyewe bali remote ya wakuu wao na akina makamba, mwana wa mkulima na mwanakijiji wa Msoga.
FUNGUKENI NA JIFUNZENI KWA WENZENU ACHENI KUWA ROBOTI.