Mbona graduates wote wa 2013/2014 wameshaenda depo!!
Ina maana waliitwa kimyakimya
DuuuuuhMbona graduates wote wa 2013/2014 wameshaenda depo!!
Ibravo kasema 2013/ 2014, ila kwasasa hakujua kama kuna 2014/ 2015 wanaosubilia kuitwa
habari za mchana wana jf
hivi jaman kuna Mtu yeyote aliye na tetesi juu ya lini majina waliomba ajira jeshi LA polisi kwa upande Wa professional
Mbona graduates wote wa 2013/2014 wameshaenda depo!!
Sawa
Vijana hawakati tamaa..
Sema stori zinakua nyingi
Mara wa kumi mwishoni,sasa wa kumi na moja...
Si unajua watu wanahamu ya kupiga kwata..sasa wao haraka yao nini wakati inafahamika fika kuwa mafunzo yanaanza mwezi wa kumi na moja.
Mbona graduates wote wa 2013/2014 wameshaenda depo!!