Jeshi la polisi tanzania

ACID

Member
Aug 10, 2011
15
4
NI KWELI IGP AMESHINDWA KUSIMAMIA UTEKELEZWAJI WA SERA ZA MABORESHO NDANI YA JESHI KUPITIA MIHIMILI YAKE YA POLISI JAMII,WEREDI NA USASA?INAWEZEKANA KWANI,ASKARI BADO HATUJAONA KIVITENDO USASA JESHIN ZAID YA KUPATIWA VITENDEA KAZ VYA KISASA,PIA HUO WEREDI,WASOMI NDIO VITA NA VIONGOZ WETU WAKO RADHI NA WANAFURAHI KUONA PROFESSIONALS WANAVYOACHA KAZ...IGP HVI UNAJUA WENGINE HATUNA WATU WA KUTUSAIDIA HUKO MAKAO MAKUU?ANGALIA UPYA WATENDAJI WAKO HASA OFISI YA OPERATION NA MAFUNZO NA MABORESHO..! SIWEZ KUAMINI
http://m.google.com
 
Pole, Acid. Kama kweli we msomi na unabaguliwa huko polisi, tafuta kazi nyingine kama hao professionals unaowasema waliosepa.
 
tatizo kwenye professional watu wanaingiza siasa, ni kweli aliahidi lakini si ndo zilezile siasa tu unaahidi ambacho
unajua kabisa huwezi kutekeleza, tutawavua gamba wote hao
 
wewe ni polisi mbona sie wananchi tunaona utendaji wenu ulivyobadilika kabla ya uongozi wa mkuu mwema?
NI KWELI IGP AMESHINDWA KUSIMAMIA UTEKELEZWAJI WA SERA ZA MABORESHO NDANI YA JESHI KUPITIA MIHIMILI YAKE YA POLISI JAMII,WEREDI NA USASA?INAWEZEKANA KWANI,ASKARI BADO HATUJAONA KIVITENDO USASA JESHIN ZAID YA KUPATIWA VITENDEA KAZ VYA KISASA,PIA HUO WEREDI,WASOMI NDIO VITA NA VIONGOZ WETU WAKO RADHI NA WANAFURAHI KUONA PROFESSIONALS WANAVYOACHA KAZ...IGP HVI UNAJUA WENGINE HATUNA WATU WA KUTUSAIDIA HUKO MAKAO MAKUU?ANGALIA UPYA WATENDAJI WAKO HASA OFISI YA OPERATION NA MAFUNZO NA MABORESHO..! SIWEZ KUAMINI
Google Mobile
 
Back
Top Bottom