Jeshi la polisi mtaacha lini kutoa report zenye mkanganyiko?

satellite

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
616
164
Kwa mara nyingine tena jeshi la polisi limeingia kwenye kutoa report tata zinazoibua maswali juu yake,kwenye sakata la kuibia naibu waziri Malima polisi wamesema aliyeiba sio mwanamke lakini vitu vilivyoibiwa vimekutwa kwa mwanamke swali linakuja kwani huyu naye sio mtuhumiwa wa kupokea vitu vya wizi tena vyenye thamani kubwa?
Pili wamekanusha Malima hakuwa na silaha aina ya SMG ambayo ni vita,siku ya tukio TBC walionesha Malima mwenyewe akikiri alikua na silaha 2 na alizitaja moja ikiwa bastora na nyingine SMG tena alisema hii nyingine ni ya hatari ila mwizi hakuijua ndo maana aliiacha,Je polisi mnasema uongo kumkinga nani?
Polisi achane kutoa conclusion ya taarifa msizokua na uhakika nazo maana mmekana kuwa aliyeiba siyo mwanamke ila hamjamtaja alyeiba wala kutoa ushahidi.jamii inakosa imani na nyie na mnakua mnatoa taarifa kama vile ziko cooked tena na watu ambao hawajui jinsi ya kucook data.
 
Hakuna weledi kwenye hilo jeshi, limejaa wala rushwa na kubambikiza kesi kwa raia. Mwema alipewa kuongoza jeshi kwa uswahiba ndio maana ameachia tu mambo yanajiendea tu hovyo. Mfano mzuri wachunguze askari jinsi uniform zao zilivyochakaa, na viatu wanavaa vya kichina. Hii ni ishara tosha uongozi mbovu
 
Kwa mara nyingine tena jeshi la polisi limeingia kwenye kutoa report tata zinazoibua maswali juu yake,kwenye sakata la kuibia naibu waziri Malima polisi wamesema aliyeiba sio mwanamke lakini vitu vilivyoibiwa vimekutwa kwa mwanamke swali linakuja kwani huyu naye sio mtuhumiwa wa kupokea vitu vya wizi tena vyenye thamani kubwa?
Pili wamekanusha Malima hakuwa na silaha aina ya SMG ambayo ni vita,siku ya tukio TBC walionesha Malima mwenyewe akikiri alikua na silaha 2 na alizitaja moja ikiwa bastora na nyingine SMG tena alisema hii nyingine ni ya hatari ila mwizi hakuijua ndo maana aliiacha,Je polisi mnasema uongo kumkinga nani?
Polisi achane kutoa conclusion ya taarifa msizokua na uhakika nazo maana mmekana kuwa aliyeiba siyo mwanamke ila hamjamtaja alyeiba wala kutoa ushahidi.jamii inakosa imani na nyie na mnakua mnatoa taarifa kama vile ziko cooked tena na watu ambao hawajui jinsi ya kucook data.

jeshi la polisi ni noma! Kiambiwa na mkubwa ua huyo,naua! Kiambiwa sema likuwa naleta furugu, nasema! Kiambiwa acha hiyo,potesea, naacha,napotesea! Kiambiwa bambikisa, nabambika! Kiambiwa sema mekula sumu, nasema! Sasa meambiwa sema simji haiko,MESEMA!
 
Kazi ya polisi ni Ulinzi wa raia na mali zao lakini sasa naona kuwa Kazi ya Polisi ni Ulinzi wa Wahalifu na Mali zao!
 
Kwa mara nyingine tena jeshi la polisi limeingia kwenye kutoa report tata zinazoibua maswali juu yake,kwenye sakata la kuibia naibu waziri Malima polisi wamesema aliyeiba sio mwanamke lakini vitu vilivyoibiwa vimekutwa kwa mwanamke swali linakuja kwani huyu naye sio mtuhumiwa wa kupokea vitu vya wizi tena vyenye thamani kubwa?
Pili wamekanusha Malima hakuwa na silaha aina ya SMG ambayo ni vita,siku ya tukio TBC walionesha Malima mwenyewe akikiri alikua na silaha 2 na alizitaja moja ikiwa bastora na nyingine SMG tena alisema hii nyingine ni ya hatari ila mwizi hakuijua ndo maana aliiacha,Je polisi mnasema uongo kumkinga nani?
Polisi achane kutoa conclusion ya taarifa msizokua na uhakika nazo maana mmekana kuwa aliyeiba siyo mwanamke ila hamjamtaja alyeiba wala kutoa ushahidi.jamii inakosa imani na nyie na mnakua mnatoa taarifa kama vile ziko cooked tena na watu ambao hawajui jinsi ya kucook data.

jeshi la polisi ni noma! Kiambiwa na mkubwa ua huyo,naua! Kiambiwa sema likuwa naleta furugu, nasema! Kiambiwa acha hiyo,potesea, naacha,napotesea! Kiambiwa bambikisa, nabambika! Kiambiwa sema mekula sumu, nasema! Sasa meambiwa sema simji haiko,MESEMA!
Hahahahaaaaa!!! Umenifurahisha sana!

Sena hakuna manamke loiba, nasema hifohifo,

Ulishawahi kusikia kibaka anajua aina za silaha na asiibee?

Kwamba hii ni simjii, hii ni shotgani, hii ni gobole!!! Halafu anaziona na anaziacha!
 
ndio yale yale magari yao yanavuja madawa ya kulevya kila mara wakikamata mzigo, juzi tena wamekamata kilo tatu ikafika kituoni ikiwa kilo moja unusu - sababu ya utofauti inaelezewa walikadiria tu wakati wanatangaza, lakini baada ya kupima kwenye mzani wamehakikisha uzito,
siku tutawataja kwa majina wahusika,
 
Back
Top Bottom