satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Kwa mara nyingine tena jeshi la polisi limeingia kwenye kutoa report tata zinazoibua maswali juu yake,kwenye sakata la kuibia naibu waziri Malima polisi wamesema aliyeiba sio mwanamke lakini vitu vilivyoibiwa vimekutwa kwa mwanamke swali linakuja kwani huyu naye sio mtuhumiwa wa kupokea vitu vya wizi tena vyenye thamani kubwa?
Pili wamekanusha Malima hakuwa na silaha aina ya SMG ambayo ni vita,siku ya tukio TBC walionesha Malima mwenyewe akikiri alikua na silaha 2 na alizitaja moja ikiwa bastora na nyingine SMG tena alisema hii nyingine ni ya hatari ila mwizi hakuijua ndo maana aliiacha,Je polisi mnasema uongo kumkinga nani?
Polisi achane kutoa conclusion ya taarifa msizokua na uhakika nazo maana mmekana kuwa aliyeiba siyo mwanamke ila hamjamtaja alyeiba wala kutoa ushahidi.jamii inakosa imani na nyie na mnakua mnatoa taarifa kama vile ziko cooked tena na watu ambao hawajui jinsi ya kucook data.
Pili wamekanusha Malima hakuwa na silaha aina ya SMG ambayo ni vita,siku ya tukio TBC walionesha Malima mwenyewe akikiri alikua na silaha 2 na alizitaja moja ikiwa bastora na nyingine SMG tena alisema hii nyingine ni ya hatari ila mwizi hakuijua ndo maana aliiacha,Je polisi mnasema uongo kumkinga nani?
Polisi achane kutoa conclusion ya taarifa msizokua na uhakika nazo maana mmekana kuwa aliyeiba siyo mwanamke ila hamjamtaja alyeiba wala kutoa ushahidi.jamii inakosa imani na nyie na mnakua mnatoa taarifa kama vile ziko cooked tena na watu ambao hawajui jinsi ya kucook data.