ntagunga
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 654
- 256
wakuu salam.
Jeshi la polisi Tanzania, limetangaza majina ya walioomba kujiunga na wakafanyiwa usaili na wamechaguliwa. Wapo wachache wa kidato cha sita, kidato cha nne na waliohitimu mafunzo ya JKT kwa mjibu wa sheria. Bonyeza link hii kwa maelekezo na orodha ya waliopeta.
http://www.policeforce.go.tz/images/pdf/TANGAZO_LA_WITO_CHUO_CHA_POLISI_MOSHI_ORODHA_2015.pdf
Jeshi la polisi Tanzania, limetangaza majina ya walioomba kujiunga na wakafanyiwa usaili na wamechaguliwa. Wapo wachache wa kidato cha sita, kidato cha nne na waliohitimu mafunzo ya JKT kwa mjibu wa sheria. Bonyeza link hii kwa maelekezo na orodha ya waliopeta.
http://www.policeforce.go.tz/images/pdf/TANGAZO_LA_WITO_CHUO_CHA_POLISI_MOSHI_ORODHA_2015.pdf