kisiringyo
Member
- Feb 9, 2012
- 89
- 31
wao wamkamate na wamfunge kwani ninaamini ndo itakua mwanzo wa ukombozi wa taifa letu...hakuna kulala mpaka kieleweke.
Badala ya kukamata wahalifu waliowakata mapanga wabunge wao wanashughulika na Dr Slaa. Nchi hii kichwa cha mwendawazimu kweli
Speaker hii post yako imenifanya nicheke mpaka mbavu zinaniuma, kuna binti mmoja yupo kwenye moja ya Taasisi nyeti nchi hii maarufu kwa kuchakachuwa kura, leo amenitumia msg kuhusu mambo yetu personal, sasa mimi nikamjibu tu COPIED!Aliondoka kinyemela?
Ndio mwendo gani huo?
Haya ndo matatizo ya kuwa na walinda usalama wa nchi wasio
jua kusoma wala kuandika aka standart 7.
Sasa walitaka awaage wake zao au?
Huu upuuzi kweli
Rais wa watanzania,
mwenye hekima,
Dr. Slaa anaumiza vichwa vya magamba.
kamata huyo slaa piga..hana kazi anatanga na njiaaa..wastaafu wanatabu sana!
Badala ya kukamata wahalifu waliowakata mapanga wabunge wao wanashughulika na Dr Slaa. Nchi hii kichwa cha mwendawazimu kweli
wakawakamate kwanza mafisadi wanao inyonya nchi yetu
Speaker hii post yako imenifanya nicheke mpaka mbavu zinaniuma, kuna binti mmoja yupo kwenye moja ya Taasisi nyeti nchi hii maarufu kwa kuchakachuwa kura, leo amenitumia msg kuhusu mambo yetu personal, sasa mimi nikamjibu tu COPIED!
Huwezi kuamini ilibidi anipigie simu na kuniambia hajanielewa mimi nakadhani ananitania kumbe ni kweli hajanielewa kabisa ndio ikabidi nimwambie kwamba kwa kiswahili labda ningekujibu msg yako kwamba nimekusoma. sasa unatalajia nini kama vyombo vya ki intelligence watu wanapewa kazi kwa misingi ya kujuwana na siyo IQ?
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza ametoa amri kwa dr.slaa kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi ili kutoa maelezo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni uchochezi kwani alitoa siku saba kwa jeshi la polisi kuwatia hatiani wale wote waliohusika kuwacharanga mapanga wabunge wa CHADEMA.Anasema wameshindwa kumtia Dr.Slaa nguvuni kwani aliondoka Mwanza kinyemela hapo juzi kuelekea Dar.source star tv.
Polisi wetu wanashangaza, rahisi ni kuanzisha kesi dhidi ya Dr Slaa au kuwakamata wahalifu waliovunja amani na kujeruhiwa raia?? Basi tukubaliane jeshi la polisi ni la kuliinda majambazi na si raia!