Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hivi hii inakaaje? Dr. Slaa ukipata muda hebu pitia hapa na utupe maelezo zaidi. Pia watu kama Zitto, na wanasiasa wengine mliopo hapa JF. Ninashindwa kuelewa kama CCM ambacho ni CHAMA, inakuwaje kiwe na jeshi lake? Licha tu ya kuwa na jeshi, ila hadi wana magwanda.
Pichani, Rais akikagua wanaJESHI wa CCM.
Hapa chini ASKARI WATOTO ambao wamekuwa wakituhumiwa sana duniani. Sijui kama ni vema kuwapatia watoto namna hii silaha......... Rais SLAA njoo uwanyang'anye SILAHA.
Pichani, Rais akikagua wanaJESHI wa CCM.
Hapa chini ASKARI WATOTO ambao wamekuwa wakituhumiwa sana duniani. Sijui kama ni vema kuwapatia watoto namna hii silaha......... Rais SLAA njoo uwanyang'anye SILAHA.