Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
kaumbo ka utata ni kivumishi sifa mpendwa so ana kaumbo kazuri
Kivumishi sifa ndiyo nini?..
MJ
kaumbo ka utata ni kivumishi sifa mpendwa so ana kaumbo kazuri
Kivumishi sifa ndiyo nini?..
MJ
Yep, ni ZAIDI ya AM - Aisha Madinda kwa mbaaaaaaaaaaaaaali sana.
Baba Enock acha kabisa, kumfananisha Aisha Madinda na Jesca ni sawa na kufananisha mbingu na ardhi!
hivi nae ni celebrity?alikuwa mzuri kama aisha madinda?
Yep, ni ZAIDI ya AM - Aisha Madinda kwa mbaaaaaaaaaaaaaali sana.
Baba Enock acha kabisa, kumfananisha Aisha Madinda na Jesca ni sawa na kufananisha mbingu na ardhi!
Naona anazeeka sasa!Aisha Madinda huyu hapa!
Mnaolinganisha endeleeni.
Aisha Mohamed Madinda
...Madinda ni jina la Ujiko tu jamaa alipo kuwa ana service mzigo.
Kajipiga deki.Ni mweupe hivyo au kajimenya?
Wazungu huwa hawajali vipolo ..Nadhani sisi tumezoea kwamba demu akipigwa sana hafai kuwa nae.. Wazungu hawajali kwavile wana kwenda kuwapiga double impect Wakijua bado wanaume wa kibongo tulio wengi waswahilina.