Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Tanzania kuna mameya wengi sana. Hata Miji mikubwa ya Dar, Arusha, Mwanza na kwingineko kuna mameya, lakini wote wanafanya kazi zao. Kijana Jerry Slaa amekuwa mstari wa mbele kuuza sura kwenye ma Redio, Magazeti, TV na Blogs. Hivi huyu dogo anafahamu kweli kwamba hawa anaojipendekea kwao ndio watakao mwangusha? Subirini mtaona. Watu wanauchungu wa maisha, wwe badala ya kuwatumikia unatumia nafasi yako kuuza sura?
Source Jiachie
View attachment 26562
Source Jiachie