Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Nguruvi3,
Ahsante sana mdau kwa maelezo yako na hoja zilizojitosheleza.
Kama ni msikivu, Jerry na akusikie kwa hoja na ushauri ulioutoa. Hapa tunatafuta uwajibikaji wa viongozi ili kuchochea upatikanaji wa huduma bora za kijamii kwa wananchi pamoja na maendeleo yao.
Kama atatimiza wajibu wake kikamilifu na maendeleo yakashuhudiwa na wananchi, watampongeza. Lakini akijisahau sisi tutamkumbusha kupitia JF ama forum nyengine kadri inavyowekana.
Ahsante sana mdau kwa maelezo yako na hoja zilizojitosheleza.
Kama ni msikivu, Jerry na akusikie kwa hoja na ushauri ulioutoa. Hapa tunatafuta uwajibikaji wa viongozi ili kuchochea upatikanaji wa huduma bora za kijamii kwa wananchi pamoja na maendeleo yao.
Kama atatimiza wajibu wake kikamilifu na maendeleo yakashuhudiwa na wananchi, watampongeza. Lakini akijisahau sisi tutamkumbusha kupitia JF ama forum nyengine kadri inavyowekana.
Last edited by a moderator: