Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
Hili jina la huyu jamaa naona linampa umaarufu tu. Maana otherwise mi nisingefungua hii thread..
Mkuu Ramos, nimefungua hapa nikisema moyoni liwalo na liwe, nianze kumvurumishia matusi mwanzilishi wa thread hii kwa kuleta uzushi dhidi ya Rais wa mioyo yetu. Kumbe thread yenyewe inakihusu Ki- Slaa cha magamba! hiki kidogo magamba kilazimishwe kuanza kulipia jina la (Trade Mark) Slaa maana kimeanza kulitumia vibaya.