Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Huyo jamaa anajitafutia umaarufu tu.....sasa hiyo si kesi ya madai? na JM amesimamishwa kazi? akisema atamlipa lakini atakapopata kipato si itakula kwa huyo jamaa!Hakuna cha kushangaza hapo, inategemea alikopa lini na interest kwenye ile principal amount ime-accrue kiasi gani.