MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Jerry Muro akihojiwa katika kipindi cha weekend Chartshow cha CLOUDS TV.Alisema toka kes yake imeisha yuko huru na kwamba mwenye media yoyote aliyetayar kufumua uozo wa nchi hii kama deal la mgao wa umeme n.k aende wakafanye kazi....
Nimependa maono na mtazamo wa Jerry Muro, testimony yake is a revelation to us; inatufungua macho na ubongo kwa kiasi fulani japo yule binti aliyekuwa akiongea kiswanglish kwa mbwembwe nyingi alimuharibia kwa sababu huyo binti hakuwa na input yoyote ya maana isipokuwa mbwembwe zisizo na hoja!! nawashauri Clouds wajifunze kuchagua target audience yao kulingana na maudhui ya mada husika; waepukane na watu wa aina hiyo wanapokuwa na mtu studio anayekuja kuzungumzia mambo mazito kama ya Muro; that was a serious topic, kijana anajitoa mhanga kwa ajili ya utaifa halafu mnaweka msanii studioni inapoteza interest ya watu makini kuendelea kusikiliza kiingereza chenyewe hakijaiva vizuri! jamani hebu tuwe serious katika mambo ya msingi, sio sahihi kuendesha show kama ile kama master j anavyoendesha auditions za epic bongo star search; maudhui ya vitu hivyo viwili ni tofauti kabisa! nawapa point 7 out of 10; A good show lakini iandaliwe kwa umakini zaidi. Pole sana Jerry Muro kwa mkasa uliokupata; only take strength from the fact that hakuna mapinduzi (read mabadiliko) yasiyokuwa na wahanga.