Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
nope nawafahamu kwa asilimia nyingi kabisa, actually mimi ni mjumbe na najua operation iliyofanyika ili kupata wajumbe safi, vijeba wote waling'olewa
Amekuwa mwanasiasa?
Usilolijua ni kama usiku wa giza!!!!!!!!!!!!!!!!!:sleepy::sleepy::sleepy:.....
Mkuu unaonekana unamfahamu sana Jerry Muro!
Hapa mi sioni vijana naona wazee wanajadili mambo ya vijana,kwani umri wa vijana kwa mujibu wa katiba ya CDM ni miaka mingapi?
JK chaguo la mungu
wote hao ni below 35
jaamani mnamsingizia JK wa watu, yeye bado kijana, ndo maana ni moto wa kuotea mbali kwa dada zetu!
Aaaa wapi, hao wote wana vyeti vipya vya kuzaliwa halisi vya zamani wamevichoma.Kaka hao wote ni toleo la 1962-1970 ni vijeba kwa kwenda mbele.
Vijana nikama SHIGELLA.Hapa mi sioni vijana naona wazee wanajadili mambo ya vijana,kwani umri wa vijana kwa mujibu wa katiba ya CDM ni miaka mingapi?