pingu na bastola sio issue kabisa wakuu,kazi ni tuhuma za rushwa ambazo mpaka sasa ushahidi ni wa kuunga sana ingawa si wa kupuuza pia!
Vyote vinaelezeka baba jerry. ila pingu tuu ndo sielewi !
Upo Bomba! View attachment 35723Eee mungu, msaidie kijana huyu
Ah Nilikuwa nachat Room Zingine<br />
<br />
DU pole sana na kweli wewe ni rais wa pemba