Bado hajafa nadhani hata huko kuzimu hawamtaki kwa kuogopa undumila kuwili wake.RIP Jeremiah Sumari
Au huyu ndiye baba yake na yule mama wa Rex UFISADI Attorneys na janga la taifa kule Dowansi? Kama ndiye huyo huyo basi tufunike kombe tu.
Hii imekaa vizuri sana. huyu mzee namfahamu vyema, na jamaa zangu wa maeneo ya kikatiti - arusha wanamjua vyema alivyo ndumila kuwili.
amewatosa hata CCM waliomchagua mbali na kuwa waziri, hakufanya lolote. amebaki kutetea wahuni na mafisadi. Mungu ampe pumziko la amani.
RIP Jeremiah Sumari
huyu ni fisadi mkubwa wameanzisha benki na rais wao lowassa pale meru inaitwa COMMUNITY BANK..
RIP SUMARI
JAMANI MSIACHE KUMUOMBEA NA JAJI MAPIGANO YUKO ICU HOI AGHAKHAN SALA ZENU NI MUHIMU ANA MWEZI MMOJA ANATUMIA MASHINE TU AJAFUMBUA MACHO WA KUGEUKA MWENYEWE
mungu amsaidie apone