AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,078
Arudiane na mr. Shiny Suit Man maana wote hawapendi commitment...!
They were perfect for each other...
Arudiane na mr. Shiny Suit Man maana wote hawapendi commitment...!
They were perfect for each other...
its sound like you are the one in love with puffy lol
Umeona eeh! hahahahahah lol! Asha, BOSS ameshakushtukia
Kunguru Hafugiki..Naombeni List ya wanaume wote JLo alowahi kwa nao kimapenzi..sijui itakuwa zamu ya nani mara hii...
Umeona eeh! hahahahahah lol! Asha, BOSS ameshakushtukia
pufffy mwisho atamuoa mkewe kim tu...
watoto watatu wote wanamuuliza hilo swali..la when will u marry mom??????
asha dii na j lo walie tu lol
Naona mwaninanga jamani... Naona tu wanaendana... lol
Jlo is too HOT, for her own good! lol
kama sio kuolewa na marc na kuzaa watoto
puffy angemuoa,
halafu hivi umegundua kuwa puffy na j lo wote wana watoto mapacha??????
Diddy sio muoaji, Kim aliwahi kusema wakati wanaachana kuwa "Diddy ni mtu anayependa kujirusha na kula starehe na wanawake tofauti ata kama ana mwanamke nyumbani".pufffy mwisho atamuoa mkewe kim tu...watoto watatu wote wanamuuliza hilo swali..la when will u marry mom??????asha dii na j lo walie tu lol
Kitu kilinifanya nijue Puffy ana mapacha ni huu mstari from "I am coming home.."
What if the twins ask why I aint marry their mom (why, damn!) How do I respond?
Diddy sio muoaji, Kim aliwahi kusema wakati wanaachana kuwa "Diddy ni mtu anayependa kujirusha na kula starehe na wanawake tofauti ata kama ana mwanamke nyumbani".
Diddy sio muoaji, Kim aliwahi kusema wakati wanaachana kuwa "Diddy ni mtu anayependa kujirusha na kula starehe na wanawake tofauti ata kama ana mwanamke nyumbani".
Diddy sio muoaji, Kim aliwahi kusema wakati wanaachana kuwa "Diddy ni mtu anayependa kujirusha na kula starehe na wanawake tofauti ata kama ana mwanamke nyumbani".
he heeee wewe kweli unampenda j lo
yaani umegundua ana mapacha,lakini hukugundua kuwa
huyo mama yao twins alishazaa na puffy mtoto mwingine?
na yeye anasubiri ndoa pia??????
Bora ya Russell issue iko kwa Bob Johnson mkewe aliondoka na karibia nusu ya mali.Hivi yule mtoto wa Diddy na Sarah Chapman anaitwa nani, maana hiyo ilikuwa sababu mojawapo ya Kim kumtosa jamaa nyingine ni kuwa alikuwa anataka ndoa jamaa hataki. But if you can date the likes of JLo na other divas ndoa ya nini?mkuu kuwa na mke sio lazima umuoe kanisanihuyo kim ni kama mke tu wa puffy..usisahau kuwa puffy anaogopa pia kugawana malimke akidai talaka..we umemuona kimora alivyofanya kwa russell?sasa jamaa lingine linachapa na pesa juu..