Dah wana JF mmemcheck Jenista Muhagama alivyoliongoza bunge leo japokuwa uccm ulimwathiri wakati akiliongoza bunge leo toka asubuhi lakini ameonekana imara na kujiamini kuliko Mama Makinda
Dah wana JF mmemcheck Jenista Muhagama alivyoliongoza bunge leo japokuwa uccm ulimwathiri wakati akiliongoza bunge leo toka asubuhi lakini ameonekana imara na kujiamini kuliko Mama Makinda
Mhagama nishamuona toka kipindi cha Sita alikuwa akiongoza vikao anaendesha vizuri sana ametulia.Anastahili apewe kile kiti in the future.
rev. masanilo hutaionja pepo kwa maneno yako haya