Ameongelea mambo ya mhimili mwingine wa michezo ambao bado uko mahakamani. Angesubiri kwanza kiama cha Kandambili kesho au keshokutwa kutegemea kama atachomoa kwa Wanyarwanda.
Nazani hakuwa na nia ya kutangaza product za AZAM alikuwa anawanang a.k.a kuwatupia vijembe washabiki wa simba akiwepo MH: RAGE ambaye ni mwenyekiti kwa kufungwa na AZAM FC katika michuano ya KAGAME POLENI SANA Washabiki wa simba ndio mchezo jipangen upya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.