Nilipigiwa simu na rafiki yangu aliyekuwa na biashara zake katika jengo hilo nadhani ni March 2008 kuwa jengo limeungua. Nilidhani ni sehemu ndogo tu lakini nimefika TZ home na kulikuta jengo kama gofu na ni zaidi ya mwaka sasa. Maswali yangu:
1. Kwa nini halijakarabatiwa hadi leo zaidi ya mwaka?
2. Washirika waliovuma miaka hiyo sasa wakowapi?
3. Uwekezaji katika majengo TZ nafahamu uko juu hadi huku US wanaulizia kuja huku TZ, vipi wamekosekana wakuwekeza?
4. Au siasa inatawala?
5.................. nina maswali mengi maana inashangaza gofu kuwa City Centre.
JF nijuzeni nisichofahamu.
1. Kwa nini halijakarabatiwa hadi leo zaidi ya mwaka?
2. Washirika waliovuma miaka hiyo sasa wakowapi?
3. Uwekezaji katika majengo TZ nafahamu uko juu hadi huku US wanaulizia kuja huku TZ, vipi wamekosekana wakuwekeza?
4. Au siasa inatawala?
5.................. nina maswali mengi maana inashangaza gofu kuwa City Centre.
JF nijuzeni nisichofahamu.