SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,308
- 1,924
tunangoja taarifa kamili,hainiingii akilini polisi waaze tu kupiga raia nyumba adi nyumba?mabomu?helicopta?
:yell:
fuatilia kwanza comment mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunangoja taarifa kamili,hainiingii akilini polisi waaze tu kupiga raia nyumba adi nyumba?mabomu?helicopta?
:yell:
tunangoja taarifa kamili,hainiingii akilini polisi waaze tu kupiga raia nyumba adi nyumba?mabomu?helicopta?
:yell:
ipo siku utawatafuta pamoja na mapungufu yao. uzuri taasisi hii bwana, ni utumishi wa umma, leo unaiponda kesho upo kwao wakutatulie baadhi ya shida zao. Mleta mada hajasema chochote zaidi ya kutaka maelezo kwa wadau, badala ya kumpa maelezo mnawapongeza wananchi kuchoma kituo cha polisi. kama ndo utawala bora sawa.
lakini suala la msingi ni kuwa, wananchi wa maeneo hayo wana madai na serikali kama sio mzabuni kuwa alichukua KOROSHO zao lakini hataki kuleta mafao yao.
juzi walikata hadi nguzo za tanesco, wameangusha barabara, wamekata miti na kuziba barabara na uharamia mwingi. sasa kuchoma kituo cha polisi ndo polisi itawalipa hizo pesa zao?
kwa nini wasimwendee aliyechukua mazao yao na kumwajibisha?
Kwanini una imani na Pinda na wala si IGP?.Helikopta imeingia,ila aliyemo sijui ni nani kwa kweli..
Angekuwa Waziri Mkuu sawa,lakini IGP,hatakuwa na jipya nadhani..
Helikopta imeingia,ila aliyemo sijui ni nani kwa kweli..
Angekuwa Waziri Mkuu sawa,lakini IGP,hatakuwa na jipya nadhani..
Chanzo cha moto kitajulikana hapo kesho..
(shoti ya umeme huenda)
Ila,baada ya jengo hilo kuungua kwa muda,umeme ukakatika..
Askari wanapatrol mitaani na kupiga mabomu kutuliza ghasia..
Jirani na ofisi hiyo pana maduka ya wafanyabiashara,ambao huenda maduka yao yakaathirika kwa moto huo,maana huduma za kuzima mioto mawilayani,ndiyo hivyo tena..
2230.....
Hakuna taarifa juu ya kudhibitiwa ama kutodhibitiwa kwa moto huo hadi sasa,wala hasara iliyopatikana..
Updates zaidi kesho..
0605hrs:
Inasemekana maduka yote yameteketea kwa moto ulioanzia kwenye ofisi ya OCD.. Maeneo hayo ni jirani na soko,hivyo mabanda mengi ya biashara yameathirika!
-Watu wameanza safari kwenda vijijini na sehemu nyingine za jirani
- Kwa wenye ndugu,wasio na ndugu wamepanda basi la Dar..
0700hrs
- Yasemekana chanzo cha moto ni hujuma!
-Baadhi ya familia zaomba hifadhi kituo cha Polisi(kwa OCS) ambako kuna ukumbi mkubwa wa canteen unaotumika kwa sherehe na vinywaji baridi na vikali...
1320hrs:
- Helikopta ya Polisi inarandaranda juu..
Gee Cee
Shame on you kwa kukurupuka!wengine wanasifu kituo kuchomwa, wengine wanaomba hifadhi kwa polisi hao hao ambao baadhi ya wananzengo humu mnawaponda na kusema bora wamechomewa. shame on you
Ni kweli mkuu tukiwa raia wa nchi inayojivunia upendo na amani hatupaswi kushabikia maasi kama haya,lakini pia tujiulize swali moja la msingi
*serikali yetu {simaanishi polisi}inakuwa wapi kusikiliza na kuvifanyia kazi vilio vya wananchi kama hawa hadi wanafikia kukata tamaa na kuyafanya maasi yote haya bila huyo aliyewatapeli kuchukuliwa hatua?
Nadhani hii inatokana na baadhi ya makampuni kuwahusisha baadhi ya viongozi katika ngazi mbalimbali za kitaifa na katika halmashauri zetu nchini.
Na linapojitokeza suala kama hili wanabaki kutumia nguvu kulizima kwa sababu fweza kama fweza wanakuwa walikwisha gawana na kuitafuna kitambo.sasa hata kuripoti tukio ngazi za juu hawalipeleki kama lilivyo bali wanavyoona wao na matokeo yake ndo inakuwa kama TANDAHIMBA
kwa nini usiwakamate wahusika na kuwapa kipigao? Kwa nini uchome majengo na kuharibu miuondombinu ambayo kesho pia utalipa kodi ili ijengwe? Mchawi unamjua, halafu anapigana na kitu kisichokuwa na uhai?
Kwanini una imani na Pinda na wala si IGP?.
Hawa vijana wa Inteligensia huwa kila kitu utasikia ni SIASA; vipi hawajahusisha na mambo ya SIASA hapo??
Chunguza kauli zao zinasemaje. KWani haya matukio hata kwenye TV au vyombo vya habari hawatangazi sijui vipi hawa.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
wengine wanasifu kituo kuchomwa, wengine wanaomba hifadhi kwa polisi hao hao ambao baadhi ya wananzengo humu mnawaponda na kusema bora wamechomewa. shame on you
mkuu gambachovu shukrani sana kwa taarifa isiyokuwa biased
Mkuu, hauwezi ukapiga picha na ukaitupia humu?