Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,592
- 29,711
Jiji wamesema kwamba kila mfanyabiashara atapata kizimba cha meter square. Hebu mnaojua undani mtufafanulie equation hii.
Je ukubwa wa jengo I mean mita mraba za kila floor ni ngapi, halafu gawanya kwa mita moja mraba halafu weka katika kila mita mraba mtu mmoja mwenye kilo hamsini. Kisha kila kizimba at onetime kinapata five wateja watano wote wana kilo hamsini. Zidisha kwa ukubwa wa floor halafu mnaojua vipimo vya jengo lile mtuambie uwezo wa jengo wa kubeba uzito kwa muda mmoja. Je hatujisogezi kwenye maafa mengine??
Kama wakiweka utitiri wa wafanyabiashara at one place (machinga complex) mjue sisi wateja tutakuja huko and mjiandae kwa explanation endapo jengo litaporomoka kutokana na uzito wa watu hasa siku za sikukuu na mwisho wa mwaka.
Kwa nini msiwaweke wachache halafu mkajenga mengine kila manispaa ili kupunguza msongamano na gharama zisizo na lazima? Pia ninyi serikali msiwasahau watu wa mikoani wekeni complexes katika miji mikuu ili kupunguza wimbi la wanaoingia jijini kusaka mahitaji siku za sikukuu.
Umiza kichwa katika hili
Je ukubwa wa jengo I mean mita mraba za kila floor ni ngapi, halafu gawanya kwa mita moja mraba halafu weka katika kila mita mraba mtu mmoja mwenye kilo hamsini. Kisha kila kizimba at onetime kinapata five wateja watano wote wana kilo hamsini. Zidisha kwa ukubwa wa floor halafu mnaojua vipimo vya jengo lile mtuambie uwezo wa jengo wa kubeba uzito kwa muda mmoja. Je hatujisogezi kwenye maafa mengine??
Kama wakiweka utitiri wa wafanyabiashara at one place (machinga complex) mjue sisi wateja tutakuja huko and mjiandae kwa explanation endapo jengo litaporomoka kutokana na uzito wa watu hasa siku za sikukuu na mwisho wa mwaka.
Kwa nini msiwaweke wachache halafu mkajenga mengine kila manispaa ili kupunguza msongamano na gharama zisizo na lazima? Pia ninyi serikali msiwasahau watu wa mikoani wekeni complexes katika miji mikuu ili kupunguza wimbi la wanaoingia jijini kusaka mahitaji siku za sikukuu.
Umiza kichwa katika hili