RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,519
Mi niko tofauti kidogo na hili! Kuhusu Machinga complex, tumechelewa sana tena sana maana hizi zinatakiwa kama ishirini kwa Dar pekee yake ili kuboost uchumi.
erikali inatakiwa ibuni vyanzo vya mapato ikiwemo miradi kama hii, nimeenda Indonesia mwaka jana jiji moja linaitwa Surabaya kuna sehemu kama hizi yaani safi zina bei nzuri wafanyabiashara wanalipa kodi zao vizuri, Mamantilie wanasehemu zao nzuri, hakuna tatizo zikiwemo nyingi za kutosha, chukulia pale mwenge ziwepo, Buguruni, Gongo la mboto, Mbagala, Mbezi, Tabata zitatutoa kwenye uchumu tegemezi, bajeti tegemezi. Inakuwa fujo mtu kuanza safari ya kwenda kariakoo. Hata wakulima watakuwa wanasehemu maalumu za kuuza vitu vyao sio kama sasa.
Mtu akienda kule analake jambo.
Sema viongozi wetu wanatamaa, wanataka kila kitu wawepo wao na 10% ndo kabisa. Tatizo kubwa ni usimamizi na hizi tamaa za viongozi.
erikali inatakiwa ibuni vyanzo vya mapato ikiwemo miradi kama hii, nimeenda Indonesia mwaka jana jiji moja linaitwa Surabaya kuna sehemu kama hizi yaani safi zina bei nzuri wafanyabiashara wanalipa kodi zao vizuri, Mamantilie wanasehemu zao nzuri, hakuna tatizo zikiwemo nyingi za kutosha, chukulia pale mwenge ziwepo, Buguruni, Gongo la mboto, Mbagala, Mbezi, Tabata zitatutoa kwenye uchumu tegemezi, bajeti tegemezi. Inakuwa fujo mtu kuanza safari ya kwenda kariakoo. Hata wakulima watakuwa wanasehemu maalumu za kuuza vitu vyao sio kama sasa.
Mtu akienda kule analake jambo.
Sema viongozi wetu wanatamaa, wanataka kila kitu wawepo wao na 10% ndo kabisa. Tatizo kubwa ni usimamizi na hizi tamaa za viongozi.