Jengo la Kanisa la TAG Kariakoo mkabala na s/msingi Uhuru,limeuzwa kwa Mpemba mmoja. Mchungaji wa kanisa hilo alipohojiwa alisema wameuza kwa lengo la kujipanua zaidi. Limeuzwa kwa Tsh 850 milioni. Majengo ya ibada yanapouzwa kwa wafanyabiashara si jambo zuri,hata kama lengo ni kujipanua,basi wangegeuza eneo hilo kuwa kitega uchumi chao kama kanisa. Kuna waumini wengi wataumizwa na uamuzi huu,na la mwisho ni uhakika mdogo wa kupata eneo lingine kariakoo kwa pesa hiyo.
Si ajabu hela hiyo ikatafunwa kabla ya kutimiza malengo yaliyokusudiwa.
source; Mtanzania ya jumapili ya tarehe 6/12/2009.
Si ajabu hela hiyo ikatafunwa kabla ya kutimiza malengo yaliyokusudiwa.
source; Mtanzania ya jumapili ya tarehe 6/12/2009.