Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Embu angalieni hili jambo kwa mapana, mi nahisi hii ni laana.
Inasemakana mmoja wa wamiliki wa jengo hili ni kati ya watu waliohusishwa na EPA, na ndio aliechota fungu kubwa zaidi na ndio akatumia sehemu ya fungu hilo kujengea jengo hilo.
Sasa laana za watanzania zimewarudia na jengo walilolijenga limeanguka. Amakweli ufisadi ni laana tupu.
Inasemakana mmoja wa wamiliki wa jengo hili ni kati ya watu waliohusishwa na EPA, na ndio aliechota fungu kubwa zaidi na ndio akatumia sehemu ya fungu hilo kujengea jengo hilo.
Sasa laana za watanzania zimewarudia na jengo walilolijenga limeanguka. Amakweli ufisadi ni laana tupu.