Jengo jipya la ubalozi DC - Dola milioni 10?

Ahsante sana Mkuu Bluray kwa kuliweka bayana hilo la usalama ambalo wengi hatukulitilia maanani kabisa katika mjadala huu.

I think we are blowing this usalama thing out of proportion.

The really worry about usalama is the situaion in Zanzibar and politically motivated division between muslims and christians.
 
I think we are blowing this usalama thing out of proportion.

The really worry of usalama is the situaion in Zanzibar and politically motivated division between muslims and christians.

Here you go again figuratively undressing at the public square.

I guess you can give a loaded gun to a 5 year old and say "the real worry of usalama is the situation in Zanzibar."

What do you know about risk aversion/ minimization? Just because we have a security issue in Zanzibar it doesn't mean we have to stop looking at any other security issue.

Sisi tuna demand serikali inayofanya kazi on all fronts, wewe unataka a one track mind government, which says so much about your thought process.

Your arguments are weak, incogruent and incoherent.Furthermore, you do not even attempt a thinly veiled spin at addressing the issue.
 
Last edited:
nice hizo 10bln zitarudi soon, ila kwenye hizo pesa tujiulize sh ngapi zimeliwa??????/
 
Kama Jasusi amesema ununuzi wa jengo ni kitu muhimu. Wanaobisha kuwa sio kitu muhimu watakuwa wanaboronga tu.
 
Kama Jasusi amesema ununuzi wa jengo ni kitu muhimu. Wanaobisha kuwa sio kitu muhimu watakuwa wanaboronga tu.


Dude,

Labda ungesoma tena kabla ya kuchangia, kinachojadiliwa hapa ni zaidi ya ununuzi wa jengo.

Kwa nini tunakimbilia junk shortcuts to least common denominator na hesabu za bottom line bila kuelewa the multifaceted nature of issues?
 
Dude,

Labda ungesoma tena kabla ya kuchangia, kinachojadiliwa hapa ni zaidi ya ununuzi wa jengo.

Kwa nini tunakimbilia junk shortcuts to least common denominator na hesabu za bottom line bila kuelewa the multifaceted nature of issues?

Ninaishi hapa DC kwa zaidi ya miaka kumi. Na hiyo embassy ambayo wameondoka naijua. Na vilevile najua valuation za majengo hapa.
 
Ninaishi hapa DC kwa zaidi ya miaka kumi. Na hiyo embassy ambayo wameondoka naijua. Na vilevile najua valuation za majengo hapa.

You are missing the boat completely again. Is this your specialty?

Sikusema chochote kuhusu unapoishi, wala kwamba huijui hiyo embassy, for all I know you could be the ambassador himself.

Ninachosema ni kwamba, umei approach issue in a very narrow minded way, na mazungumzo yetu hapa yalikuwa mapana sana.Hukuifanyia justice thread, umeonekana kama mtu aliyekurupuka tu bila kusoma wala kufanya research yoyote, ukapost tu "ununuzi wa jengo kitu muhimu, wanaobisha wanaboronga"

Is this the best you can do?

Hebu mwenyewe tazama hiyo sentensi halafu angalia mtiririko wa arguments, watu wana discuss mambo mengi zaidi ya ununuzi wa jengo. Tanzania ni sovereign nation ambayo haishindwi kununua jengo la dola milioni kumi, lakini kuna mambo mengine lukuki tumejadili.

Naomba kabla ya kuchangia jaribu kujielimisha kuhusu topic kidogo ili usije uka ji expose na post shallow kama "Ununuzi wa jengo muhimu, wanaopinga wanaboronga"

Nani anaboronga sasa?
 
Kiu cha msingi alicho ongelea Bluray ni kwamba mahitaji yetu ni ghorofa 3 why kununua ghorofa 6? pili suala la usalama, ubalozini si sehemu ya kufanyia biashara, bora tungejiunga na any african country tukanunua ghorofa kutokana na mahitaji yetu, na kuweka hadhi yetu, sio mahali hapo panakuwa kama danguro hujui anakwenda ubalozini au kwa wapangaji. mbona eu wameweza kufanya hivyo hapo dar. pili suala la estate management kwa experience yetu ni ya kutilia shaka ndipo mtu atajiuliza sasa atapelekwa mtu wa estate? huko na je mikataba ya usafi , ukarafati etc itakuwaje? Jingine kama tulishindwa nyumba za O'bay ndio tutaweza huko america? au balozi atakuwa pia ni estate manager.
 
Kiu cha msingi alicho ongelea Bluray ni kwamba mahitaji yetu ni ghorofa 3 why kununua ghorofa 6?

Kwa maana nyingine kama ubalozi ulitaka ofisi yenye vyoo 4 sio busara ikanunua ofisi yenye vyoo 5. Kwa maana nyingine ubalozi ulitakiwa kumweleza muuzaji kwamba iuziwe gorofa 3 tu kati ya sita na hivyo muuzaji atafute mnunuzi wa gorofa zilizobaki?

pili suala la usalama, ubalozini si sehemu ya kufanyia biashara, bora tungejiunga na any african country tukanunua ghorofa kutokana na mahitaji yetu, na kuweka hadhi yetu, sio mahali hapo panakuwa kama danguro hujui anakwenda ubalozini au kwa wapangaji. mbona eu wameweza kufanya hivyo hapo dar.

Haya ni mawazo ya kibongo-bongo, bora hata ubalozi wetu DC hawakuwa na mawazo haya. Ofisi katika nchi zilizoendelea sio kama soko au sehemu ambapo kila mtu anatandika gunia na kuuza nyanya zake. Na Usalama katika ofisi katika nchi za wenzetu unadumishwa kwa kuwa na controlled access za ofisi. Hivyo basi si kwamba kila atakayeingia kwenye jengo hilo atakuwa na access ya ofisi nyingine za kibihashara na wala haina maana kwamba maofisa wa kibalozi wataonana kila siku na watu wa ofisi nyingine.

pili suala la estate management kwa experience yetu ni ya kutilia shaka ndipo mtu atajiuliza sasa atapelekwa mtu wa estate? huko na je mikataba ya usafi , ukarafati etc itakuwaje? Jingine kama tulishindwa nyumba za O'bay ndio tutaweza huko america? au balozi atakuwa pia ni estate manager.

Haya pia ni mawazo mgando. Yani jengo moja tayari tunapiga kelele za wasiwasi wa property management, kana kwamba ili ni jengo la kwanza kwa Tz kulinunua. Balozi zetu kadhaa zina residents, nani ana manage? Nani anazifanyia ukarabati? Ngapi zimeharibika kwa kukosa property managers?

Tupo mbaaaaaaaaaali sana kimawazo kuliko wenzetu walioendelea.
 
With the location in mind, you dont build/ buy an extravagantly overpriced boxed monstrosity in subterfurges and expect the good people of JF to cheer.

I mean this is not exactly lower Manhattan, and I could find you better looking boxes not only in lower Manhattan, but near the exchange, for a better tag.

This is the perfect masquerade for some dubious shenanigans, watch this space.

Sheer mediocrity and self imposed and stunted objectives, these have gotten no body nowhere.
Surely those who saw the economies of scale in purchase of this building deserve a pat on the back.
 
Folks,
It is not like the embassy just requested $10.5 million from the Treasury for the building.
The embassy had some money from the previous sale of its first residency and the embassy still owns its former office building which is run down but is also in a prime area. Recently George Stefanopoulous of ABC bought a 5.8 million 32 storey-house not too far away from the new Tanzania house, so for a 6 floor house to cost 10.4 million in DC is a pretty darn good deal. I hear the former owners of the building were in danger of being foreclosed so Tanzania was able to get a good deal on the building.

Thanks ,Jasusi.
Many will by now know that from the economical downturn in the western world especially the US , this is the time to BUy, BUY, BUY!!
That is when the cost and demand is LOW.
 
Wakuu zangu,
naona bado mnajadili swalai la ununuzi wa jumba hilo la Ubalozi..
Kwanza kabisa navyofahamu mimi Marekani na nchi zote zilizobobea Uibepari, huwezi kununua nyumba kwa cash money yaani ulipe zote billioni 10 kwa sababu uuzaji wa nyumba hutegema interest inayokusanywa kwa kila mwezi na mara zote transaction ni lazima zipitie financial institution kisheria kutokana na michezo ya money laundry, hakuna exceptional wala untouchables ktk sheria za wenzetu..kumbukeni tu wenzetu wana system nzima inayo monitor mabadilishano ya fedha kati ya muuzaji na mnunuzi. Unaweza kulipa sehemu kubwa kama down payment ili kupunguza urefu wa miaka ya mkopo lakini mara zote inerest zao hubakia pale pale ktk hesabu zao kinachobadilika sana ni miaka ya ulipaji...

Kwa hiyo hata kama utakuwa na cash Us millioni 10 ni vigumu na pengine haiwezekani ukanunua nyumba kwa cash money kama tunavyofanya Bongo chini ya mpango wa Mkapa anayesifiwa kwa kuweka misingi bora (my a...) ya ukusanyaji fedha wakati nchi nzima vitu vinauzwa kwa Dollar na unaweza kwenda ka kapu la fedha benki usiulizwe umezipata wapi, zimelipiwa kodi au maswali mengine. Ndio maana watu wengi hushangaa kuona celebrity wa Marekani wakifilisiwa nyumba na magario ya kuchukuliwa..Ni sheria za mortigage na leasing zinazowabana kutonunua cash kwa sababu benki zinavuta interest na serikali inavuta kodi zake toka pande zote kwa transaction zote za kupokezana fedha kila mwezi.

Pili, inaonyesha watu wana wasiwasi na gharama za Ukarabati, hii sii kitu kwa nchi za Kibepari, mara zote Mpangaji hubeba mzigo wote yaani unapopanga nyumba mara nyingi unalipia gharama za ukabrabati, maji, umeme na ghasia zote ikiongezewa ka asilimia 10 hadi ishirini juu yake. Kwa hiyo malipo ya mwezi kwa hizo ghorofa tatu nyingine inaweza kabisa kukabiri matumizi na kodi zote kisha tukabakia na kitu kidogo pamoja na thamani ya mjengo kuongezeka kila mwaka..

Labda tatizo ambalo naliona mimi ni moja tu.. tanzania ni nchi huru ambayo kulingana na sheria za UN, jengo hilo litawakilisha nchi yetu yaani Tanzania..Sasa sielewi ikiwa kuna mtu mpangaji akifanya fujo, wizi au lolote lile itakuwa ndani ya serikali yetu au ya Marekani? Na Je, mtu akitaka kujisalimisha ktk Ubalozi wetu ni eneo gani linahesabika kuwa milki ya Ubalozi wetu ikiwa jengo hilo hilo lina wapangaji...nimesikia swala hili limewahi kutokea ktk ubalozi wa Uganda ingawa sifahamu kisa haswa kilichotokea..
Nje ya hapo, wakuu zangu hakuna investment yenye uhakika kushinda nyumba na msije changanya nyumba za kuishi na haya majengo ya highrise mijini kwani ktk mtikisiko huu wa uchumi nyumba nyingi za makazi (watu binafsi) zimeshuka thamani lakini sii nyumba za upangishaji wala highrise office buildings katikati ya mji...sidhani kama mmeona jengo kubwa likiwekwa mnadani - for closure.
 
Last edited:
Wakuu zangu,
naona bado mnajadili swalai la ununuzi wa jumba hilo la Ubalozi..
Kwanza kabisa navyofahamu mimi Marekani na nchi zote za Kibapari huwezi kununua nyumba kwa cash money zote billioni 10 kwa sababu uuzaji wa nyumba hutegema interest inayokusanywa kwa kila mwezi na mara zote transaction ni lazima zipitie financial institution kisheria kutokana na michezo ya money laundry, .

....acha kamba Mkandara wewe,kama una cash lete tukununulie nyumba ila acha kutoa wrong information!
 
....acha kamba Mkandara wewe,kama una cash lete tukununulie nyumba ila acha kutoa wrong information!
Mkuu wangu hatuhitaji kubishana nchi hii ni ya mtandao nipe agent, broker anayeweza kufanya hivyo kisheria.
Trust me, huwezi kwenda benki na bag la fedha millioni ati nimeuza nyumba..acha millioni elfu 20 tu cash utaitiwa Polisi palepale.
 
Back
Top Bottom