Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Je kuinvest kwenye real estate kwenye soko la DC ni wazo zuri? Litalipa?
Je kuinvest kwenye real estate kwenye soko la DC ni wazo zuri? Litalipa?
Year its true but ishu inakuja palepale pesa zitatufikia wadanganyika? maana kila kitu kama kinatumika ipasavyo hua kinalipa hata "Migodi" na "maliasili" kibao zinalipa ila tu Mshiko unaishia kwa wajanja!!kwa mujibu wa experience yangu,
investing in CONSTRUCTION PAYS A LOTS
jengo la bilion 10 kwa nchi kama tz ambayo majority ya wapiga kura wanaishi chini ya dola moja kwa siku.ama kweli priorities
now,thje highlighted item is ANOTHER CUP OF TEA!.......and it needs a lots of explanations and justificationsYear its true but ishu inakuja palepale pesa zitatufikia wadanganyika? maana kila kitu kama kinatumika ipasavyo hua kinalipa hata "Migodi" na "maliasili" kibao zinalipa ila tu Mshiko unaishia kwa wajanja!!
NI NZURI KAMA UTAKUJA NA THREAD YAKO MPYA!hapa unatuharibia moods wengine,nisije nikazihamishia hasira zangu kwako bure mkuu!nimechwa na kila siku kutaja mabaya ya rais wetu Mh JK pamoja na timu yake nzima........but hata hili la kupiga picha ni baya jamani?
Kwasababu kama ni rais mwenye picha JK anaongoza.....samahani kwa kutoka nje ya mada.....lol
Mazungumzo baada ya habari
Jamani leo hii Kariakoo nyumba za vyumba sita zinauzwa hadi millioni moja, sidhani kama kuna mmoja wetu anaweza kuona faida ya ununuzi kama huo kama huelewi kinachoendelea... .
jengo la bilion 10 kwa nchi kama tz ambayo majority ya wapiga kura wanaishi chini ya dola moja kwa siku.ama kweli priorities
Je kuinvest kwenye real estate kwenye soko la DC ni wazo zuri? Litalipa?
Dah bado tunasafari ndefu saaana kufikia malengo.